Ni dhahiri shairi kuwa Ahmed Ally hawezi u-MC

Ni dhahiri shairi kuwa Ahmed Ally hawezi u-MC

kwa hiyo nikusaidie nini? Kutambulisha wachezaji nayo inakuwa topic? ulienda kuangalia mpira au kushindanisha MCs? Acha hoja za kitoto, Ahmed sio MC ni Afisa Habari
Letee mzungu ndio nn sas mzungu mwenyew viazi magoli ya wasi anakosa je mzungu kitu gani

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom