House of Commons
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 2,179
- 2,177
Nani alikwambia kuwa ameajiliwa kuwa MC????Ally ameboronga Sana leo kwa jinsi alivyokuwa anawatambulisha wachezaji wake japo alikuwa Ana utani ila hawezi kumfikia Manara kwa uwezo na ujuzi Kama mropokaji Manara alivyofanya katika sherehe ya utopolo
Manara Ni fundi haswaa
Ally sauti ina kama inakwaruza kwaruza haikuwa POA na alikuwa hasikiki vizuri katika spika zilizowekwa uwanjani
Next time kah kama afsa tu Kam kina babra mtafuteni mropokaji mzuri anogeshe sherehe hata dkt cheni au mc garabiii angetisha tu
Pia acheni next time Kuja na majeneza uwanjani mmeniudhi Sana makolo nyie
Hakika mkuu! Uko sahihi kabisa.mashabiki wa Simba tumeridhika na utendaji wa Ahmed Ally.
Alikuwa anarudiarudia tu maneno kama mtoto wa chekechekeaAlly ameboronga Sana leo kwa jinsi alivyokuwa anawatambulisha wachezaji wake japo alikuwa Ana utani ila hawezi kumfikia Manara kwa uwezo na ujuzi Kama mropokaji Manara alivyofanya katika sherehe ya utopolo
Manara Ni fundi haswaa
Ally sauti ina kama inakwaruza kwaruza haikuwa POA na alikuwa hasikiki vizuri katika spika zilizowekwa uwanjani
Next time kah kama afsa tu Kam kina babra mtafuteni mropokaji mzuri anogeshe sherehe hata dkt cheni au mc garabiii angetisha tu
Pia acheni next time Kuja na majeneza uwanjani mmeniudhi Sana makolo nyie
Yanga walisema nini kuhusu kabwili ameachwa au yupo yanga mbona hajaonekana siku ya mwanachi.Japo mtoa mada ni utopolo ila kuna ka- ukweli ameandika.
Haji sauti yake ni ya ki- mamlaka hivyo anavutia hata ukimsikiliza na kwa matukio kama hayo anafit.
Ahmed sauti yake sio ya ki-mamlaka. Kwa matukio ya jana amejitahidi sana kwa kuwa ile ilikuwa ni mara ya kwanza kufanya matukio kama yale.
Pia kuna makosa machache aliyafanya Ahmed kwenye utambulisho;
1. Alishindwa kutaja jina la mchezaji mgeni, badala yake akasema Mzunguu, Mzunguu. (Ile ni sawa na unyanyapaa wa rangi ya mtu)
2. Hakusema chochote kuhusu Hasani Dilunga kama ameachwa au bado ni sehemu ya timu.
Hata sas HV katk Leo Tena hoja yangu imeibuka kuwa amhed Ally hawaweziSimba tumeridhika na kazi yake hatuna shida hakukuwa na mashindano ya u mc pale. Tunampongeza amejaza uwanja Umejaa hatari
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Naoan Uzi wangu leo umejadiliwa ktk kipind Cha leo tenaaAlikuwa anarudiarudia tu maneno kama mtoto wa chekechekea
Hmn kaboronga sna had leo Uzi wangu upo leo ktk kipind Cha leo tenaMm naona anaweza sana
Leteee mzunguu utambulisho gani huo sasa mnajiona kapatiaKwani kulikua na mashindano ya U MC?. Ahmed Ali kafanya kazi yake hayo ya namna ya kuzungumza baki nayo mwenyewe. Sisi mashabiki wa simba tumemwelewa.
Let mzunguu ndio jins ya kutambulisho wachezaji oneni sasa mnavyo chorwa na jamii kila Mahal letee mzunguuuUlivyomalizia ndo utambulisho wako. Aibu sana mtu wa Yanga kujihusisha na mambo ya Simba. Tunakushukuru sana kwa kuacha kazi zako na kuja kutuunga mkono. THIS IS SIMBA.
Letee mzunguu ndio mmeridhika naemashabiki wa Simba tumeridhika na utendaji wa Ahmed Ally.
Ila tumewapskata tenaUliona wapi utopolo akamkubali mnyama!
Acha wivu nililalamika siku hyo hyo jjuu ya uwezo wa Ally ktk event hyo leo imeonekana rasmNimenishauri kupuuza baadhi ya nyuzi humu. Pumba zimekuwa nyingi kama facebook