Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Kiufupi mashabiki ya Simba ni mbumbumbu! Sasa kama mmeshindwa kumpa mkataba akienda timu nyingine mtanuna? Chama ameamua kuondoka kwa sababu viongozi wameshindwa kutimiza wajibu wao na ndiyo maana hayajaenda na timu huko uturuki!Wakati Azam wanafanya kwa Fei ilikuwa kushangilia ila sasa hv imekuwa vurugu.