Yehoshafati
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 298
- 596
Zinaingiza kitu gani zaidi ya kuleta hasara tu hizi zipo kwa sababu tofauti zaidi ya hii ya mpiraMmh kama hazina faida si wangezifuta!
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinaingiza kitu gani zaidi ya kuleta hasara tu hizi zipo kwa sababu tofauti zaidi ya hii ya mpiraMmh kama hazina faida si wangezifuta!
Ndo ukweli huuWakacheze netball waipe thamani waachane na soccer la wanaume
Miaka yote unatangazwa lakini wapiii..Sema wewe hupendi! Usiwasemee wengine!
Kila kitu huwa ni matangazo! Hakuna kisichopendwa sema mpira huu haijatangazwa na kupewa kipaumbele!
Ungeaangalia fainali uone wadada wanavyocheza vizuri saingine kuliko baadhi ya timu za wanaume
Haujapata msemaji wa hamasa ipo siku utapendwaMiaka yote unatangazwa lakini wapiii..
Mpira wa wanawake haupendwi sababu hauna intensity.Sema wewe hupendi! Usiwasemee wengine!
Kila kitu huwa ni matangazo! Hakuna kisichopendwa sema mpira huu haijatangazwa na kupewa kipaumbele!
Ungeaangalia fainali uone wadada wanavyocheza vizuri saingine kuliko baadhi ya timu za wanaume
Unadhani mpira wa wanaume unapendwa sababu ya Hamasa?Haujapata msemaji wa hamasa ipo siku utapendwa
Ndiyo! Kwani uongo? Mbona timu za kawaida zikicheza pale taifa watu hawaendi,Unadhani mpira wa wanaume unapendwa sababu ya Hamasa?
Team za kawaida zipi?Ndiyo! Kwani uongo? Mbona timu za kawaida zikicheza pale taifa watu hawaendi,
Lakini simba na yanga watu wanaenda?
Ishu ni hamasa! Tukianza kuhamasisha kama ilivyo simba na yanga ...mpira wa wanawake lazima utapendwa tu!
Kuna wadada wanasakata kabumbu kuliko max nzengeli
Hivi unaelewa hata mantiki ya "Ngao ya jamii" au basi tu umeamua kujiandikia na wewe uwe kwenye rekodi ya kuandika hapa jf?.Waandaaji wa haya mashindano yaliyowaibua Simba Queens kama washindi wa ngao ya jamii 2023!
Kutoa 5Mil kwa mshindi wa kwanza ni dharau kubwa. Hata mashindano ya ndondo cup wasingetoa pesa hiyo. Hawa Dada zangu hatujawatendea haki kabisa!