Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
- Thread starter
- #21
Hizi civilian zikianza kusumbua clutch inaweza kukutoa kipara.Nadhani watu wengi Tanzania wana mentality kwamba Nissan ni gari mbaya, kitu ambacho si kweli. Sijui huwa wanaangalia nini hasa. Au hizo X-trail?