Ramesh Topiwalla
Member
- Feb 21, 2016
- 86
- 32
Tukisema kwamba kuna sehemu ambapo Mungu yupo na kuna sehemu ambapo Mungu hayupo maana yake ni kwamba huo Dunia haija tengenezwa na Mungu. Dunia sio creation ya Mungu. Yaani yako vitu vilivyo tengenezwa na Mungu na vitu ambavyo havijatengenezwa na Mungu. Bali ni Shetani. Yaani kuna Dunia mmoja ya Mungu na pia kuna Dunia ya pili ya Shetani aliye tengeneza Shetani. Na kwamba Binadamu anaishi kwenye Dunia Mbili.
Hiyo haiwezekani kwa sababu Dunia nzima mmoja imetengenezwa na Mungu. Haziko Dunia mbili. Pamoja na hiyo lakini hakuna sehemu ambapo Mungu haupo. Maana yake ni kwamba hata kwenye mwili Mungu yupo. Kwenye kila tende ya mwili Mungu yupo. Kwenye hewa, maji, moto, nafasi tupu, ardhi, kweye kila kitu Mungu yupo. Hata kwenye mawazo, akili Mungu yupo.
Pamoja na hayo Mungu amejipanga mawasiliano yote kwenye taratibu tunaloliona kisayansi. Nikiingiza mkono kwenye moto nitaungua. Kadhalika kila kitendo kinakuwaga na tokeo / matokeo yake. Na sio kwamba matokeo lazima yatoke baada ya kufa. Matokeo yako kila sekunde.
Kitu cha maana kwa kweli ni kwamba God made Man in his own image. Tujue kwamba Mungu upo mwilini pia. Na kitu cha maana zaidi ni kwamba Whole world is image of God.
Kwa hiyo nikijua kwamba kwenye kila kitendochangu Mungu Upo, na nikijua pia kwamba Mungu ni mwenye busara, pendano, uzuri na uwezo wa hali ya juu wa mwisho vitendo vyangu vyote vitakuwa hivyo. Na matokeo pia ya vitendo vyangu yatafanana kwa sababu matokeo pia yakuwaga kisayansi. Ila nikifanya mambo ya chuki ya kuumiza wengene; kisayansi matokeo yatafanana na si lazima kwamba matokeo yatasubiriwa siku ya mwisho.
Asanteni.
Hiyo haiwezekani kwa sababu Dunia nzima mmoja imetengenezwa na Mungu. Haziko Dunia mbili. Pamoja na hiyo lakini hakuna sehemu ambapo Mungu haupo. Maana yake ni kwamba hata kwenye mwili Mungu yupo. Kwenye kila tende ya mwili Mungu yupo. Kwenye hewa, maji, moto, nafasi tupu, ardhi, kweye kila kitu Mungu yupo. Hata kwenye mawazo, akili Mungu yupo.
Pamoja na hayo Mungu amejipanga mawasiliano yote kwenye taratibu tunaloliona kisayansi. Nikiingiza mkono kwenye moto nitaungua. Kadhalika kila kitendo kinakuwaga na tokeo / matokeo yake. Na sio kwamba matokeo lazima yatoke baada ya kufa. Matokeo yako kila sekunde.
Kitu cha maana kwa kweli ni kwamba God made Man in his own image. Tujue kwamba Mungu upo mwilini pia. Na kitu cha maana zaidi ni kwamba Whole world is image of God.
Kwa hiyo nikijua kwamba kwenye kila kitendochangu Mungu Upo, na nikijua pia kwamba Mungu ni mwenye busara, pendano, uzuri na uwezo wa hali ya juu wa mwisho vitendo vyangu vyote vitakuwa hivyo. Na matokeo pia ya vitendo vyangu yatafanana kwa sababu matokeo pia yakuwaga kisayansi. Ila nikifanya mambo ya chuki ya kuumiza wengene; kisayansi matokeo yatafanana na si lazima kwamba matokeo yatasubiriwa siku ya mwisho.
Asanteni.