Ni faida gani ataipata Mungu kwa kuwachoma moto binadamu siku ya mwisho?

Ni faida gani ataipata Mungu kwa kuwachoma moto binadamu siku ya mwisho?

Tukisema kwamba kuna sehemu ambapo Mungu yupo na kuna sehemu ambapo Mungu hayupo maana yake ni kwamba huo Dunia haija tengenezwa na Mungu. Dunia sio creation ya Mungu. Yaani yako vitu vilivyo tengenezwa na Mungu na vitu ambavyo havijatengenezwa na Mungu. Bali ni Shetani. Yaani kuna Dunia mmoja ya Mungu na pia kuna Dunia ya pili ya Shetani aliye tengeneza Shetani. Na kwamba Binadamu anaishi kwenye Dunia Mbili.
Hiyo haiwezekani kwa sababu Dunia nzima mmoja imetengenezwa na Mungu. Haziko Dunia mbili. Pamoja na hiyo lakini hakuna sehemu ambapo Mungu haupo. Maana yake ni kwamba hata kwenye mwili Mungu yupo. Kwenye kila tende ya mwili Mungu yupo. Kwenye hewa, maji, moto, nafasi tupu, ardhi, kweye kila kitu Mungu yupo. Hata kwenye mawazo, akili Mungu yupo.
Pamoja na hayo Mungu amejipanga mawasiliano yote kwenye taratibu tunaloliona kisayansi. Nikiingiza mkono kwenye moto nitaungua. Kadhalika kila kitendo kinakuwaga na tokeo / matokeo yake. Na sio kwamba matokeo lazima yatoke baada ya kufa. Matokeo yako kila sekunde.
Kitu cha maana kwa kweli ni kwamba God made Man in his own image. Tujue kwamba Mungu upo mwilini pia. Na kitu cha maana zaidi ni kwamba Whole world is image of God.
Kwa hiyo nikijua kwamba kwenye kila kitendochangu Mungu Upo, na nikijua pia kwamba Mungu ni mwenye busara, pendano, uzuri na uwezo wa hali ya juu wa mwisho vitendo vyangu vyote vitakuwa hivyo. Na matokeo pia ya vitendo vyangu yatafanana kwa sababu matokeo pia yakuwaga kisayansi. Ila nikifanya mambo ya chuki ya kuumiza wengene; kisayansi matokeo yatafanana na si lazima kwamba matokeo yatasubiriwa siku ya mwisho.
Asanteni.
 
Ukijibiwa
Utapata faida gani?


Ulipoambiwa usizini, kwanini ulizini? Na ulipozini ulipata faida gani? Zaidi ya kujutia na kujilamu!
Ulipoambiwa usiseme uongo,usitamani mwanamke/mume asiye wako,usiibe,usiue,usiseme uongo,waheshimu baba na mama,n.k ulipovunja yote hayo/au moja kati ya hayo ulipata faida gani?
Hujui faida za kuzini?
 
Inafika mahali mtu unaweza kufikia hitimisho kuwa hivi vitabu kuran na biblia ni watu walijifungia mahali kwa mitazamo yao na matakwa yenye malengo yao binafsi wakaviandika. Kmsingi mimi naamini mungu au shetani mm ndiye ninaemuumba kupitia mawazo au matendo yangu mazuri au mabaya na mambo yanaishia hapa hapa ktk haya maisha. Hivi kuna mtu anaishi ana maradhi anateseka ajabu, mwingine pa kulala, kula ni tabu kubwa eti halafu tena akachomwe,wakat wengine wanakula na kusaza, huyo mungu si atakuwa katili sana.
 
Ukijibiwa
Utapata faida gani?


Ulipoambiwa usizini, kwanini ulizini? Na ulipozini ulipata faida gani? Zaidi ya kujutia na kujilamu!
Ulipoambiwa usiseme uongo,usitamani mwanamke/mume asiye wako,usiibe,usiue,usiseme uongo,waheshimu baba na mama,n.k ulipovunja yote hayo/au moja kati ya hayo ulipata faida gani?
Kwa nini sheria ikawepo? Ni kwa sababu kuna kuzini na mungu alijua hilo.na yeye ndiyo muumba wa vyote,mwenye nguvu zote ,aliumba mema na mabaya ata lusifa alimuumba yeye.KWAHIYO yote tuyafanyayo ni matakwa na mitego ya MUNGU na si kumpakazia lisifa.
 
Halafu huyo shetani bhana mi namkubali kitu kimoja tu ukitaka hela anakupa hapo hapo siyo eti unapiga magoti na kulia miaka na miaka ata usijue km utapewa. Ila nikibahatika kukutana nae ningemwomba alegeze au apunguze mashart. Hapo ndipo nae anazinguaga.
 
Salaaam..

Kwanza kabisa naomba niweke msimamo wangu kiimani, mimi naamini mungu yupo na ndie muweza wa yote.

Turudi kwenye mada..nacho jua mimi adhabu huwa inatolewa ili iwe funzo kwa mkosaji au kwa watu wanao mzunguka huyo mkosaji..adhabu hii huwa ni fundisho kwa mkosaji ili asirudie tena kosa pia ni funzo kwa wengine ili wasifanye kosa hilo.

Haya sasa binadam wote watakao kufa wakiwa na dhambi wameahidiwa moto wa milele kule jehanamu kama adhabu..lakini pia tuna ambiwa kuwa baada ya adhabu hiyo hakuta kuwa na kifo tena wala dhambi na watu watakao kuwa na dhambi watabaki motoni milele..

SWALI:

je adhabu hiyo ya moto itakua ni funzo kwa nan??

Na je ni faida gani mungu ataipata kwa kuwa choma moto viumbe alio waumba mwenyewe..

Je shetani alipangwa ili maisha yawe hivi??

Yesu alikufa msalabani kwa sababu ya dhambi zetu wanadam ambazo chanzo chake ni shetani..je shetani hawezi kudhibitiwa na kupewa adhabu kali kwa kuharibu ulimwengu???maana watu wanajaa kwenye anasa kuliko kwenye nyumba za ibada takatifu..


Nawasilisha..karibuni
Kamuulize yeye!

Mungu hawezi kuchoma moto na wala hapeleki watu motoni bali wao kwa kumkataa watajichoma moto wenyewe.

Ndiyo maana Mungu siku zote ni wa rehema na ana saburi/subira pia.
 
Mungu hayupo! Ni mastory ya watu tu wajanja ! Nakuuliza swali: Kama Mungu aliwaumba Adamu na Eva, walikuwa weupe, sasa weusi , wachina, wazungu walitoka wapi? Aliwaumba siku moja, ilikuwaje wakaa kama walivyo sasa hivi! Kwa nini Mungu aliumba bacteria, virus etc wa kumuumiza mwanadamu? Aliwaumba lini na tunaambiwa aliumba vitu vya kumsaidia mwanadamu! Maswali ni mengi ukiyatafakari unaambiwa UNAKUFURU ili usidaisi
hutofautiani na ngombe au mbuzi!maana wao hawana akili!ww kama unazo akili basi wapo waliokua kabla yako nawao pia walikua na watangulizi wao!ushaambiwa hiyo ni moto ukigusa unaungua!sasa unabisha haya jaribu kuishika utapata majibu yake!na hapo ndo kasoro yako ya kua huna akili!samahani kama nitakua nimetumia neno kali ila sijaona neno sahihi ya kukuelezea!umri wako wenyewe hautazidi sitini (60)karne kibao zimekupita!halafu unakuja kuwabishia waliokua kabla yako!nyie ndo wale minaljinnati wannaas.
 
Salaaam..

Kwanza kabisa naomba niweke msimamo wangu kiimani, mimi naamini mungu yupo na ndie muweza wa yote.

Turudi kwenye mada..nacho jua mimi adhabu huwa inatolewa ili iwe funzo kwa mkosaji au kwa watu wanao mzunguka huyo mkosaji..adhabu hii huwa ni fundisho kwa mkosaji ili asirudie tena kosa pia ni funzo kwa wengine ili wasifanye kosa hilo.

Haya sasa binadam wote watakao kufa wakiwa na dhambi wameahidiwa moto wa milele kule jehanamu kama adhabu..lakini pia tuna ambiwa kuwa baada ya adhabu hiyo hakuta kuwa na kifo tena wala dhambi na watu watakao kuwa na dhambi watabaki motoni milele..

SWALI:

je adhabu hiyo ya moto itakua ni funzo kwa nan??

Na je ni faida gani mungu ataipata kwa kuwa choma moto viumbe alio waumba mwenyewe..

Je shetani alipangwa ili maisha yawe hivi??

Yesu alikufa msalabani kwa sababu ya dhambi zetu wanadam ambazo chanzo chake ni shetani..je shetani hawezi kudhibitiwa na kupewa adhabu kali kwa kuharibu ulimwengu???maana watu wanajaa kwenye anasa kuliko kwenye nyumba za ibada takatifu..


Nawasilisha..karibuni
Ukitaka huo moto usitupate tuwe wacha mungu
Ukifanya jema Moja ×700
Ukifanya ovu Moja ×1
Ukiwa Na nia ya kufanya jema unaandikiwa jema
Ukiwa Na nia ya kufanya ovu huandikiwi chochote
Kutokana Na hizo hisabu binadamu moto wa jehannam anautaka mwenyewe
Mimi ni mwalimu nimewapa mtihani watoto afu nkawapa majibu ya ukweli Na ya uongo pia nkawaambia Na kuweka wazi kuwa haya ni ya uongo Na haya ni ya ukweli..atakaefeli ntamuadhibu.
Hapo atakaeadhibiwa kataka mwenyewe.
 
Hakuna moto ila wote tunaenda mbinguni ila huko kuna mahakama za kutoa haki . Mbingu ni moja ila kuna vyumba vya watu mbalimbali kulingana na maisha ya duniani . Ishi bila hofu mbingu ni ya wote ,vunja mifupa bado meno ipo
 
Back
Top Bottom