Alex Tanzania
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 782
- 646
Usimrekebishe Mungu ww.........hakurupuki kama weweBad enough tunasoma katika vitabu vya dini kwamba mamlaka ya Mungu ni ya juu sana na haihojiwi na chombo kingine chochote, ila nadhani kwamba wakati Mungu anatoa tamko lake hili alilitoa kwa ghadhabu na wala hakuangalia side effects zake!