OK noted
Lazima tuendane na teknolojia, Kwa sasa mikutano mingi inafanyika zoom
Halafu mambo ya CCM hayajadiliwi kwa kutumia nguvu na kufoka foka
Kufoka foka ni kazi ya Serikali ambayo inasimamiwa na ccm
Wale sio machinga, Waliondolewa ni wafanyabiashara wadogo wenye mitaji ndio maana una kuta kuna vibanda vina Bidhaa ya zaidi ya Milioni 200
Wamachinga unafahamu maana yake, Machinga au chinga kazi yao wao ni kuzurula na Bidhaa, Hawakai sehemu moja. Ndio asili ya machinga
Hao Waliondolewa sio machinga bali walijificha ndani ya neno machinga kwa kujenga vibanda
Machinga kama machinga wapo na bado wanazunguka na Bidhaa zao mitaani
Kuna uhusiano gani kati ya CCM na Machinga?
Kuna uhusiano gani kati ya Chadema na Ugaidi?
Kwa ufupi unachanganya sana mambo kwa kuwa na hasira, CCM ipo ilikuwepo na itakuwepo
Kabla ya vyama vingi wote hao unaowaona Chadema, NCCR walikuwa na kadi za ccm, Kwanini walishindwa kudhibiti hao machinga kutoka huko Mtwara na Lindi nakuja kujaa Dar es Salaam Mbagala
Wewe na Mimi wote ni watunga sera, Tuliichagua ccm wenyewe kwa ridhaa yetu na kushangilia ushindi inakuwaje ukinyimwa Teuzi unalialia hapa JF
Sheria zote zinapitishwa bungeni, Mimi na wewe ni wadau wakuu kwani tunapewa fursa za kutoa maoni yetu, Mbona hutoi maoni yako wakati wa mchakato?
Baada ya miezi kadhaa ijayo tutakuona hapa JF unalalamika pesa za uviko 19 toka IMF zimepigwa na watu, Wewe nani amekukataza kupiga hizo Hela wakati una taarifa mzigo umeshaingia mjini inabidi utumike. Itakuwa vituko na vichekesho wewe kushindwa kutumia connection Nasema koneksheni kupata channel za huu mzigo wa IMF. Utakuja hapa oooh ccm wamepiga pesa, oooho madarasa hayana viwango. Wewe unataka watu wale wapi?