Kuna umaskini na ufukara mkuu😅Unajiita masikini unafrji ndani Michele na pia unatumia gesi ndani na bustani ya matembele mkuu
Hujakutana na choka mbaya bongo sio poa
Ufukara ni fungakazi Mkuu😅Kuna umaskini na ufukara mkuu😅
umasikini gani, una Frij mpaka ges unatumia mkuu, kumbe hutumii kuni? halafu unajiita masikini?Unajiita masikini unafrji ndani Michele na pia unatumia gesi ndani na bustani ya matembele mkuu
Hujakutana na choka mbaya bongo sio poa
Kwa hiyo kuna watu watasema amekuja kujivuna kimtindo?😅😅😅😅umasikini gani, una Frij mpaka ges mkuu, gani kumbe hutumii kuni? halafu unajiita masikini?
Haya ni majivuno kabisa mkuu, anakunywa mpaka soda halafu ya baridi halafu anajiita masikini?Kwa hiyo kuna watu watasema amekuja kujivuna kimtindo?😅😅😅😅
Huyu analeta utani , mimi nikiwa na gunia mbili za mkaa najiona kama Bill GatesUnajiita masikini unafrji ndani Michele na pia unatumia gesi ndani na bustani ya matembele mkuu
Hujakutana na choka mbaya bongo sio poa
Na ana gesi eti na umeme wa kuendesha friji anao🤣🤣Haya ni majivuno kabisa mkuu, anakunywa mpaka soda halafu ya baridi halafu anajiita masikini?
Haha Nakumbuka nikiwa chuo kuna muda nilisikia mademu walikuwa wananiongelea eti wananiita yule mkaka chokoraa🐼Kukataliwa na kila demu mzuri
😂😂😂😂Hatari sanaHuyu analeta utani , mimi nikiwa na gunia mbili za mkaa najiona kama Bill Gates
View attachment 3101221
Umasikini haufahamu huyu😂😂😂 et na mchele kabisaNa ana gesi eti na umeme wa kuendesha friji anao🤣🤣