Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
Huwa wanasahau, pale mbele panavuruga sanaBibi harusi kutambulisha karibia kila ndugu mbaya zaidi mimi nilikuwa kiti cha mbele akaniruka, nilikuwa kipindi hiko na ukataa balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa wanasahau, pale mbele panavuruga sanaBibi harusi kutambulisha karibia kila ndugu mbaya zaidi mimi nilikuwa kiti cha mbele akaniruka, nilikuwa kipindi hiko na ukataa balaa
Mchele unaoliwa siku ya sikukuu tu tena ule wa kitumbo kwa majirani na kwenye sherehe za kuzamia😅😅😅Umasikini haufahamu huyu😂😂😂 et na mchele kabisa
Wengine hapa tukiwa na soda au juisi tu ndani siku nzima tunaifikiria, kama ni usiku ndo usingizi Hauji mpaka inywewe. Matajiri wana uvumilivu sanaHaya ni majivuno kabisa mkuu, anakunywa mpaka soda halafu ya baridi halafu anajiita masikini?
Japo ni kweli ila tusijivunie hili mkuu ,tukaze aseeWengine hapa tukiwa na soda au juisi tu ndani siku nzima tunaifikiria, kama ni usiku ndo usingizi Hauji mpaka inywewe. Matajiri wana uvumilivu sana
😂😂😂😂aseme lingine asituchezeee akili hapaMchele unaoliwa siku ya sikukuu tu tena ule wa kitumbo kwa majirani na kwenye sherehe za kuzamia😅😅😅
Huyu ana maisha mazuri kah! yaani soda inalala kabisa 😂😂😂, soda mnamiminiana yeye anakunywa yote peke yakeWengine hapa tukiwa na soda au juisi tu ndani siku nzima tunaifikiria, kama ni usiku ndo usingizi Hauji mpaka inywewe. Matajiri wana uvumilivu sana
Sema umaskini wake kuna watu anajilinganisha nao, ila hajajilinganisha na umaskini wenyewe 🤣🤣🤣😂😂😂😂aseme lingine asituchezeee akili hapa
Brother kanunue crate la soda maana halizidi 13k 😁😁Huyu ana maisha mazuri kah! yaani soda inalala kabisa 😂😂😂, soda mnamiminiana yeye anakunywa yote peke yake
Ila mchele kitumbo ni dalili ya umaskini , ule mchele ukiachana na kuumuka, ni tasteless kabisa 😁😁Mchele unaoliwa siku ya sikukuu tu tena ule wa kitumbo kwa majirani na kwenye sherehe za kuzamia😅😅😅
Usingizi haupandi na soda zipo kwa friji😅😅😅Brother kanunue crate la soda maana halizidi 13k 😁😁
Huo nakumbuka tuliula sana miaka ya 96 kipindi cha njaa na mvua zilipiga mchicha ukaota ikawa mboga tosha😅Ila mchele kitumbo ni dalili ya umaskini , ule mchele ukiachana na kuumuka, ni tasteless kabisa 😁😁
Ndo zao hizo mtumish ila ukiwa nazo sasa kila demu anakuletea shoboHaha Nakumbuka nikiwa chuo kuna muda nilisikia mademu walikuwa wananiongelea eti wananiita yule mkaka chokoraa🐼
Una Mchele, kabustani ka matembele, jiko la geso, Huku kwetu wewe ni bilionea ndugu.Mimi kuna siku mgeni kaja kunitembelea, sina hata mia mbovu, ndani nina mchele na nje kuna matembele, nikaandaa mboga kwa ajili ya kupika na kubandika wali, basi bwana mgeni amefika tunasubiri msosi uive mara gesi ikaisha ndio kwanza maji yanaanza kukaukia , matembele yako kwenye maji, mgeni kaja na njaa anategemea kula kwangu alikotoka hakula, yani nilibaki sina cha kufanya, nikatafutiza kasoda kalibaki kwenye friji ndo nikampa akanywa.. akaondoka na njaa yake. Umasikini mbaya sana.
😂😂😂😂hajauona umasikini wenyewe,Sema umaskini wake kuna watu anajilinganisha nao, ila hajajilinganisha na umaskini wenyewe 🤣🤣🤣
Anajilinganisha na wanaomzidi huyu😅😂😂😂😂hajauona umasikini wenyewe,
Mkuu unataka nilogwe, au haupendi kuwepo tena JFBrother kanunue crate la soda maana halizidi 13k 😁😁
Hakusahau aliniruka maana karibia wote kwenye ile Meza aliwatambulisha hadi vitoto vidogo vya dada yake mimi akanirukaHuwa wanasahau, pale mbele panavuruga sana