Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
Pole sana mkuuHakusahau aliniruka maana karibia wote kwenye ile Meza aliwatambulisha hadi vitoto vidogo vya dada yake mimi akaniruka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkuuHakusahau aliniruka maana karibia wote kwenye ile Meza aliwatambulisha hadi vitoto vidogo vya dada yake mimi akaniruka
Utakuwepo kesho kutwa?Zamani kidogo,Jirani Aliniita chokambaya kisa sina Gari, Siku moja jamaa kaja Mapokezi, Anahitaji rb ya Jirani Alienidharau, Mda uleule nikaenda kumunyunka popote nitakapo mkuta, Dharau mbaya.
Hizo gunia mkuu miez sita zinatoboa kabisa 😁Huyu analeta utani , mimi nikiwa na gunia mbili za mkaa najiona kama Bill Gates
View attachment 3101221
Na bustani ya matembeleNa ana gesi eti na umeme wa kuendesha friji anao🤣🤣
Tumesahau na bustani😅😅Na bustani ya matembele
Huyu kajitosheleza kabisa sema tuu aseme aliishiwa😅
Maisha yetu ya mjini mgeni ukimlisha kuku alafu wakienyeji utaonekana umeyapatia😁Kuna kipindi na mimi nilifulia, wamekuja wageni sina kitu, ila nilikuwa nimefuga vikuku na mayai yalikuwepo, nikamwambia wife sina kitu fanya maarifa, akasema nifanye maarifa gani sasa, nikamwambia apige ugali na mayai, wakala wakaondoka, nashangaa siku nakutana na mmoja wao anasema bro umetapatia mpaka mayai yanaliwa ndani😂😂😂😂 nikabak nashangaa kumbe nimeyapatia
Aisee Kuna watu wanapitia magumu sana mkuuKama hujawahi pitia situation ambayo ukoo mzima unashindwa kuchanga laki tano hadi mgonjwa anapatiwa mitishamba kama betting, akipona inshallah, asipopona sawaa..
Au mgonjwa anaenda kubeba tofali ili alishe familia
Bhasi hauujui umaskini maana kuna watu baadhi niliowaona katika hizo situations . Aseee umaskini ni nusu kifo
Hawakawii kumuuliza kama Kuna sherehe nyumbani 😁Brother kanunue crate la soda maana halizidi 13k 😁😁
Sasa wewe si wa kiumeNilishushwa kwenye pickup mbele nikakae nyuma ili demu akae mbele
Kaka niliacha, tena ilikuwa may mwaka huu, saivi nafanya mambo yangu, Nahitaji Amani.Utakuwepo kesho kutwa?
Utakuwepo kesho kutwa
Hawajazoea 😁Hawakawii kumuuliza kama Kuna sherehe nyumbani 😁
Sana mkuu kuna Mambo inabidi usali yasikukute wala kizazi chako. Umaskini unaua, umaskini unafedhehesha na kudhalilishaAisee Kuna watu wanapitia magumu sana mkuu
Mungu atusaidie tuvuke hizi changamoto
Huo haukuwa umasikini.Hukuwa mtu wa kujiongeza tu.Mimi kuna siku mgeni kaja kunitembelea, sina hata mia mbovu, ndani nina mchele na nje kuna matembele, nikaandaa mboga kwa ajili ya kupika na kubandika wali, basi bwana mgeni amefika tunasubiri msosi uive mara gesi ikaisha ndio kwanza maji yanaanza kukaukia , matembele yako kwenye maji, mgeni kaja na njaa anategemea kula kwangu alikotoka hakula, yani nilibaki sina cha kufanya, nikatafutiza kasoda kalibaki kwenye friji ndo nikampa akanywa.. akaondoka na njaa yake. Umasikini mbaya sana.
Mungu atusaidie kwa kweli. Umaskini mbaya sana sikia kwa watu tu.Unajiita masikini unafrji ndani Michele na pia unatumia gesi ndani na bustani ya matembele mkuu
Hujakutana na choka mbaya bongo sio poa