Ni fedheha gani ulipitia kisa umasikini?

Kama hujawahi pitia situation ambayo ukoo mzima unashindwa kuchanga laki tano hadi mgonjwa anapatiwa mitishamba kama betting, akipona inshallah, asipopona sawaa..

Au mgonjwa anaenda kubeba tofali ili alishe familia

Bhasi hauujui umaskini maana kuna watu baadhi niliowaona katika hizo situations . Aseee umaskini ni nusu kifo
 
Una Mchele, kabustani ka matembele, jiko la geso, Huku kwetu wewe ni bilionea ndugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…