Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.... sisi tunachoweza ni fitna na roho mbaya basi. NB: Na hicho ndio unachofanya, kwa vile ndicho unachoweza; fitna na roho mbaya. Duu, kukatisha tamaa, kutopenda mafanikio ya mwingine = fitna na roho mbaya.Gari bovu hlo , hata mwehu hawezi nunua , mlimpa kichwa tuu huyo Boya .... Poor design, yeye mwenyewe aliihadaa serikali akala pesa za ruzuku , akatoa ten percent zen akapita hv .... Ubongo wa mwafrika tena Mtanzania wap na wap na gari , si tunachoweza ni fitna tuu na roho mbaya bas
Mkuu kuwa mkweli bhana, hata bodi za Noah ama Tako la nyani zinatengenezwa kwa fibre?Gari yoyote hufanyiwa,
majaribio mengi
Masoud alitakiwa atoe prototype kwanza
Afu alifanyie majaribio hata ya kulitembeza angalau 1000 Km kwenye hali zote
Kwenye maji, maana mafuriko ni kawaida Tanzania
Apitishe kwenye barabara korofi
Apeleke gari Iringa, Mbeya,Arusha ili kuona litafanyaje kazi nyakati za baridi kali.
Masoud hakufanya lolote kati ya hilo.
Design ya gari ilikuwa mbaya kimuonekano
Battery inachaji kwa muda mrefu
Alitakiwa atafute timu ya wataalamu haswa wa electrical cars.
Gari siku hizi hazitunii mabati bali fibers
Ile haikua gari.Nimeona niulize maana ukimya umekuwa mkubwa sana sana, si Masoud mwenyewe au serikali iliyodai inaenda kuifanyia uchunguzi iliyokuja na kutoa mrejesho tuambieni kama haifai tujue mmeifukia wapi tukatafute vyuma chakavu sie.
Gari bovu hlo , hata mwehu hawezi nunua , mlimpa kichwa tuu huyo Boya .... Poor design, yeye mwenyewe aliihadaa serikali akala pesa za ruzuku , akatoa ten percent zen akapita hv .... Ubongo wa mwafrika tena Mtanzania wap na wap na gari , si tunachoweza ni fitna tuu na roho mbaya bas
Fitina zenyeewe ndio hizi sasa!!😜😜Gari bovu hlo , hata mwehu hawezi nunua , mlimpa kichwa tuu huyo Boya .... Poor design, yeye mwenyewe aliihadaa serikali akala pesa za ruzuku , akatoa ten percent zen akapita hv .... Ubongo wa mwafrika tena Mtanzania wap na wap na gari , si tunachoweza ni fitna tuu na roho mbaya bas
Unachoshangaa ni kipi hapo wanachoongea ni ukweli mtupuDu sikutegemea haya majibu yanayotolewa na watanzania dhidi ya mtanzania mwenzetu anaestruggle kucreate wealth and employment among us the same same Tanzanians. blaxks against blacks. Nawatakieni Xmass na mwaka mpya mwema
Something is better than nothing... Walau yeye amejaribu...Gari bovu hlo , hata mwehu hawezi nunua , mlimpa kichwa tuu huyo Boya .... Poor design, yeye mwenyewe aliihadaa serikali akala pesa za ruzuku , akatoa ten percent zen akapita hv .... Ubongo wa mwafrika tena Mtanzania wap na wap na gari , si tunachoweza ni fitna tuu na roho mbaya bas
Kabisa mkuu, hakuna mafanikio yanayokuja bila kujaribu na kutenda, kukosea, kukosea then unapata kilicho bora... Wao ni kuponda tuu.... sisi tunachoweza ni fitna na roho mbaya basi. NB: Na hicho ndio unachofanya, kwa vile ndicho unachoweza; fitna na roho mbaya. Duu, kukatisha tamaa, kutopenda mafanikio ya mwingine = fitna na roho mbaya.
Ndo maana mnaitwa hamna akili.Mkuu kuwa mkweli bhana, hata bodi za Noah ama Tako la nyani zinatengenezwa kwa fibre?
Wewe mwenye akili tutajie aina za gari zilizopo sokoni leo ambazo bodi zake zimetengenezwa kwa fiber.Ndo maana mnaitwa hamna akili.
Hizo gari zimetengenezwa lini?
Umeambiwa siku hizi .. Noah hizo za 90s tako la nyani wameacha mbna muda tu kutengeneza au wewe ukiona no E unadhan la mwaka huuMkuu kuwa mkweli bhana, hata bodi za Noah ama Tako la nyani zinatengenezwa kwa fibre?
Sasa mwenye roho mbaya ni nani kama sio wewe unaemfitini mbongo mwenzako?Gari bovu hlo , hata mwehu hawezi nunua , mlimpa kichwa tuu huyo Boya .... Poor design, yeye mwenyewe aliihadaa serikali akala pesa za ruzuku , akatoa ten percent zen akapita hv .... Ubongo wa mwafrika tena Mtanzania wap na wap na gari , si tunachoweza ni fitna tuu na roho mbaya bas