Ni fitina za kibiashara au ukosefu wa ubora? Kwanini gari la Masoud Kipanya mpaka leo hakuna mrejesho?

Ni fitina za kibiashara au ukosefu wa ubora? Kwanini gari la Masoud Kipanya mpaka leo hakuna mrejesho?

Gari yoyote hufanyiwa,
majaribio mengi

Masoud alitakiwa atoe prototype kwanza
Afu alifanyie majaribio hata ya kulitembeza angalau 1000 Km kwenye hali zote
Kwenye maji, maana mafuriko ni kawaida Tanzania

Apitishe kwenye barabara korofi

Apeleke gari Iringa, Mbeya,Arusha ili kuona litafanyaje kazi nyakati za baridi kali.

Masoud hakufanya lolote kati ya hilo.
Design ya gari ilikuwa mbaya kimuonekano

Battery inachaji kwa muda mrefu

Alitakiwa atafute timu ya wataalamu haswa wa electrical cars.

Gari siku hizi hazitunii mabati bali fibers
Kwahyo kapoteza hela za familia kizembe tu ni bora angenunua madela ya wake zake
 
Back
Top Bottom