KishimbaJr
Member
- Jul 25, 2022
- 75
- 67
- Thread starter
- #21
Ni Kampuni Tofauti?Duuh tanform, vita, comfy na Dodoma zote brand tofauti? Ile ya Arusha ni noma sana japo natumia dodoma Ile shoo ya chuga iko hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Kampuni Tofauti?Duuh tanform, vita, comfy na Dodoma zote brand tofauti? Ile ya Arusha ni noma sana japo natumia dodoma Ile shoo ya chuga iko hatari sana
Vitasupreme ni habari nyingine kabisa.Godoro ni Vita supreme aisee hutajutia, bei imechangamka kidogo ila ni imara sana. Me nimenunua 2019 ila mpaka sasa ni kama jipya hakuna mahali lilipobonyea au kutengezeza wimbi hivi, limenyooka vile vile
Godoro zuri ni TanFoam, kubonyea linabonyea kwa viwango vinavyohitajika libonyee.Wandugu,
Tukishajenga Na Kuhamia Tunahitaji Kufurahia Usingizi Pia.
Naomba Kuuliza Kwa Mwenye Kujua Godoro Zuri Hapo Ambalo Ni Imara Na Halibonyei Mtu Akilalia Hata Wa Kilo 100[emoji3][emoji3]
Niunge...SEMINA SEMINA SEMINA YA UJENZI
UVIMO CIVIL GROUP
Tunajishughulisha na ufundi wa ujenzi nyumba.
Kupitia majukwaa yetu ya
UVIMO PUBLIC CENTER
,tumekuwa tukiendesha semina mahsusi za ujenzi.
UVIMO MAKTABA
Ndio programu yetu mahususi
Tumedhamilia kufanya semina mahususi juu ya ujenzi kuanzia uchaguzi wa uwanja hadi kuingia n.k
Kaika programu hii, utafaham kipi cha kuanza kwa kufuata utaratibu gani.
Ungana na wadau wengine kuanzia
Tarehe [emoji1428]1/3/2023
Ukumbi [emoji1428]Uvimo Public Center WhatsApp group
Kiingilio [emoji1428]Bure kabisa
Wasiliana nasi kupitia
WhatsApp [emoji1428]0753927572
Kupiga[emoji1428] 0753927572
Uvimo Maktaba
Mkuu ulinunua la inch ngapi na bei gani supreme na je no laini ukilalia mkuuGodoro ni Vita supreme aisee hutajutia, bei imechangamka kidogo ila ni imara sana. Me nimenunua 2019 ila mpaka sasa ni kama jipya hakuna mahali lilipobonyea au kutengezeza wimbi hivi, limenyooka vile vile
Unalo la inch ngapi mkuu na ulinunua shingapi mkuu na Lina Muda ganiNambari 1 ni tanfoam
Aisee hili godoro lipewe heshima yake
Sio story hili godoro ninalo na nalitumia
Godoro lilikuwa na ukubwa wa futi tano kwa sita na kimo cha nchi kumi na mbili, bei sikumbuki vizuri ila ilikuwa inacheza kwenye 350k mpaka 400k. Godoro ni zuri sana kwa kweli sijuitii hela yangu kabisa, nikilinganisha na magodoro niliyowahi kulalia huko nyuma hili ni ze bestMkuu ulinunua la inch ngapi na bei gani supreme na je no laini ukilalia mkuu