King 999
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,872
- 8,374
ni mwaka mmoja sasa, vp bado liko vzur? nataka ninunueNimenunua vita supreme inch 10 aisee godoro lipo vizuri mnoooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni mwaka mmoja sasa, vp bado liko vzur? nataka ninunueNimenunua vita supreme inch 10 aisee godoro lipo vizuri mnoooo
Watu mnachukulia serious mambo ya kulala mpaka unaanzisha uzi wa godoro.Wandugu,
Tukishajenga Na Kuhamia Tunahitaji Kufurahia Usingizi Pia.
Naomba Kuuliza Kwa Mwenye Kujua Godoro Zuri Hapo Ambalo Ni Imara Na Halibonyei Mtu Akilalia Hata Wa Kilo 100![]()
![]()
Yaani kama vile ndio nimenunua Leo bado jipya haswa supreme ni godoro na nusuni mwaka mmoja sasa, vp bado liko vzur? nataka ninunue
Nunua godoro la Comfy lala fofofo. Hutajuta.Wandugu,
Tukishajenga Na Kuhamia Tunahitaji Kufurahia Usingizi Pia.
Naomba Kuuliza Kwa Mwenye Kujua Godoro Zuri Hapo Ambalo Ni Imara Na Halibonyei Mtu Akilalia Hata Wa Kilo 100[emoji3][emoji3]
WE JAMAA MZUSHI UNAPOTOSHANunua godoro la Comfy lala fofofo. Hutajuta.
Achana na QFL Dodoma, itakuvunja uti wa mgongo maana ikibonyea inachelewa kurudi.
Wandugu,
Tukishajenga Na Kuhamia Tunahitaji Kufurahia Usingizi Pia.
Naomba Kuuliza Kwa Mwenye Kujua Godoro Zuri Hapo Ambalo Ni Imara Na Halibonyei Mtu Akilalia Hata Wa Kilo 100[emoji3][emoji3]
Wandugu,
Tukishajenga Na Kuhamia Tunahitaji Kufurahia Usingizi Pia.
Naomba Kuuliza Kwa Mwenye Kujua Godoro Zuri Hapo Ambalo Ni Imara Na Halibonyei Mtu Akilalia Hata Wa Kilo 100[emoji3][emoji3]