Ni godoro gani zuri na imara kati ya QFL Dodoma na Tanform Arusha?

Wandugu,

Tukishajenga Na Kuhamia Tunahitaji Kufurahia Usingizi Pia.

Naomba Kuuliza Kwa Mwenye Kujua Godoro Zuri Hapo Ambalo Ni Imara Na Halibonyei Mtu Akilalia Hata Wa Kilo 100
Watu mnachukulia serious mambo ya kulala mpaka unaanzisha uzi wa godoro.

Nyie ndio mko serious na usingizi mpaka mnanunua nguo za kulalia usiku.
 
Wandugu,

Tukishajenga Na Kuhamia Tunahitaji Kufurahia Usingizi Pia.

Naomba Kuuliza Kwa Mwenye Kujua Godoro Zuri Hapo Ambalo Ni Imara Na Halibonyei Mtu Akilalia Hata Wa Kilo 100[emoji3][emoji3]
Nunua godoro la Comfy lala fofofo. Hutajuta.
Achana na QFL Dodoma, itakuvunja uti wa mgongo maana ikibonyea inachelewa kurudi.
 
Nunua godoro la Comfy lala fofofo. Hutajuta.
Achana na QFL Dodoma, itakuvunja uti wa mgongo maana ikibonyea inachelewa kurudi.
WE JAMAA MZUSHI UNAPOTOSHA

QFL niko nalo mwaka wa 5+ huu lipo kwenye ubora ule ule, huko kubonyea sijawahi kupaona
 
Wandugu,

Tukishajenga Na Kuhamia Tunahitaji Kufurahia Usingizi Pia.

Naomba Kuuliza Kwa Mwenye Kujua Godoro Zuri Hapo Ambalo Ni Imara Na Halibonyei Mtu Akilalia Hata Wa Kilo 100[emoji3][emoji3]
 

Attachments

  • EC7D0D2C-27FF-42AE-843E-5C6D4AAE57E1.jpeg
    904.5 KB · Views: 9
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…