ni mwaka mmoja sasa, vp bado liko vzur? nataka ninunueNimenunua vita supreme inch 10 aisee godoro lipo vizuri mnoooo
Watu mnachukulia serious mambo ya kulala mpaka unaanzisha uzi wa godoro.Wandugu,
Tukishajenga Na Kuhamia Tunahitaji Kufurahia Usingizi Pia.
Naomba Kuuliza Kwa Mwenye Kujua Godoro Zuri Hapo Ambalo Ni Imara Na Halibonyei Mtu Akilalia Hata Wa Kilo 100
Yaani kama vile ndio nimenunua Leo bado jipya haswa supreme ni godoro na nusuni mwaka mmoja sasa, vp bado liko vzur? nataka ninunue
Nunua godoro la Comfy lala fofofo. Hutajuta.Wandugu,
Tukishajenga Na Kuhamia Tunahitaji Kufurahia Usingizi Pia.
Naomba Kuuliza Kwa Mwenye Kujua Godoro Zuri Hapo Ambalo Ni Imara Na Halibonyei Mtu Akilalia Hata Wa Kilo 100[emoji3][emoji3]
WE JAMAA MZUSHI UNAPOTOSHANunua godoro la Comfy lala fofofo. Hutajuta.
Achana na QFL Dodoma, itakuvunja uti wa mgongo maana ikibonyea inachelewa kurudi.
Wandugu,
Tukishajenga Na Kuhamia Tunahitaji Kufurahia Usingizi Pia.
Naomba Kuuliza Kwa Mwenye Kujua Godoro Zuri Hapo Ambalo Ni Imara Na Halibonyei Mtu Akilalia Hata Wa Kilo 100[emoji3][emoji3]
Wandugu,
Tukishajenga Na Kuhamia Tunahitaji Kufurahia Usingizi Pia.
Naomba Kuuliza Kwa Mwenye Kujua Godoro Zuri Hapo Ambalo Ni Imara Na Halibonyei Mtu Akilalia Hata Wa Kilo 100[emoji3][emoji3]