😀😀😀😀😀😀 we ulifikiri mgegedo?Kumbe magoli ya kwenye mpira bas sawa
Jibu swali acha ujinga wakuuliza swali huku hujajibu uliloulizwaMimi nikuulize wewe una umri gani kuleta au kujadili mambo hayo unayoyafikiria hapa???
Hahahaaaa!!!Kwenye mgegedo kuna magoli??😀😀😀😀😀😀 we ulifikiri mgegedo?
goli la mkono la NAPE NAUYE 2015 lililopigwa na Lubuva akipokea pasi safi kabisa toka kwa J.Makamba bila refa kuona kama alinawa mpiraUnapoangalia mpira kuna matukio mengi yanatokea ila nadhan tukio linalosisimua zaid ni goli linapoingia, kuna magoli yanafungwa kimaajabu au kiustadi mkubwa hadi yanakuachia kumbukumbu isiyofutika..
Kwangu goli ambalo haliji kufutika ni goli la Didier Drogba aliwapiga Liverpool, hatari sana ile.. nyuma alikuwepo Carragher basi jamaa aligeuka moja kwa moja na shuti moja kali sana golini..Pepe Reina alibaki anazishangaa tu jinsi nyavu zinavyotikisika..
Tupe goli ambalo lipo kwenye kumbukumbu zako..
Nakumbuka vizuri golini alikuwepo Josef Katuba ( R . I . P )Kuna goli alitufunga Jackson Mayanja kwenye fainali ya challenge kati ya Tanzania bara ( Kakakuona ) na Uganda . Alitandika mkwaju wa maana toka upande wa kushoto mwa uwanja kama mita 25 ukagonga besala ya juu ukagonga mstari na kuzama . Tukapoteza kombe . Nafikiri ilikuwa 1993 kama siyo 1992 pale Kirumba Mwanza .
Kwa I'd za jf ni kawaida sana na kila siku watu wanahesabu ubingwaWengine tunayakumbuka tu ' Magoli ' ya ' hat-trick ' tunayowafunga Wake na Mademu zetu kila inapoitwa Siku mpya.