Ni hadaa na kujidanganya kwamba mahitaji muhimu sana ya wananchi wa Tanzania ni sheria za uchaguzi kubadilishwa

Ni hadaa na kujidanganya kwamba mahitaji muhimu sana ya wananchi wa Tanzania ni sheria za uchaguzi kubadilishwa

Sidhani kama unaongea kwa faida ya nchi au kwa faida yako mwenyewe kama ni kwa faida yako na tumbo lako upo sahihi, hata kama, Chama chako tu ndicho wagumbea wake watapitishwa na hiyo mnayo iita tume huru haina shida. Kwakuwa mnanufaka na kufaidika na hali ilivyo sasa wewe unaona ni sawa tu, vyovyote vile vyama vingine vinavyo fanywa bora tu nyie mnufaike. Sidhani chaguzi na viongozi wa kuchaguliwa kinamnaa hii wanatija yoyote kwa wananchi ndiyo maana wanajijazia masuru kwakuwa wanajuwa wamejiweka pale kwa ajili hiyo. Wala karne hii nchi kama tanzania haikupaswa kuzungumzia maswala ya maji, barabara, matundu ya choo, karne tulipaswa kuzungumzia maswala mazito ya kuhusu kuimari, sa uchumi wetu ila mpaka leo tunafikiria kutafuta wawekezaji waje wavune rasilimali zetu tulizo pewa na mungu wala hatufanyi jitihada zozote za kuwaandaa watu wetu kuweza kusimamia njiia kuu za uchumi.Fikra zako ni mfu wala ujui unalo lizungumza. Viongozi wanaopatikana kwa njia haramu huja kuondolewa kwa njia harama na hapo ndipo huchumi huribika kabisa. C. C. M ikiharibu uchaguzi huu ijue itarudisha nyuma uchumi wetu mara kumi ya wamagufuli na damage yake haitaweza kuimari,, ka kwa kipindi kifupi. Najua kuwa mikakati yote tayari imeshakuwa tayari, ila athari yake sijui kama wameipigia mahesabu. Kuteka, kuua nakupoteza watu wala haitakuwa suruhu yakuwanyamazisha watu ila, kadiri mnavyozama ndivyo mnavyo teketea. Wekeni tume huru bado mnauwezo wa kushinda kwa mda mrefu ingawa ushindi hautakuwa wak,, kishindo.
dah! gentleman,
una mambo mengi moyoni, pole aise 🐒
 
Au twende na hoja ya babu yetu mpya wa CCM kwamba - "wananchi wana njaa hawawezi kula katiba mpya".
ni muhimu sana kuzingatia mahitaji muhimu ya kila siku ya wananchi kuliko kumbwelambwela tu na kutapeli wananchi kwamba vyeo na madaraka ndio vipaumbele 🐒
 
Wajinga wakubwa nyie mmebanwa safari hii, mifumo ya hovyo ndiyo inatuletea watu majizi na majangili ya mali za umma, tuambie Rais alitoa wapi milioni 700 za kuwapa taifa star kwenye budget ipi?
relax na ufunguke taratibu gentleman,
ati unasemaje kuhusu hoja mahususi mezani?

kumbuka uchaguzi mkuu ni Oct mwaka huu 🐒
 
Acheni hizi mambo...sheria ziwe za haki..zisiwe za kupendelea chama kimoja....usijiamini mambo hubadilika
ili ziwe za haki ni Lazima wazo na fikra zako zikubaliwe right? Tukizingatie matakwa ya wananchi, si ndio?

Lazima kujiamini kwasababu taifa lipo mikononi salama mwa Dr Samia Suluhu Hassan, hakunaga kuogopa opgopa hapa 🐒
 
Ahaaa. Siyo sana siyo mimi peke yangu afadhali hata mimi sitilii maanani sana hali halisi kwani najua siwezi kubadilisha kitu.
kukata tamaa ni dhambi, na ni kitu mbaya sana,

pole pole mambo yanaweza kueleweka na kubadilika kabisa gentleman,

ni ngumu but keep it up 🐒
 
kukata tamaa ni dhambi, na ni kitu mbaya sana,

pole pole mambo yanaweza kueleweka na kubadilika kabisa gentleman,

ni ngumu but keep it up 🐒
Upo sahihi waoga Mungu amewachanganya na wazinzi na wachawi, tatizo ni moja watanzania bado hawajachoka na mateso waliyo nayo, usidhani mababu zetu walikuwa wapo tayari kupambana na wadharimu wakoloni ni kwasababu walifika kwenye pointi kuwa nisipopambana nitakumbwa na madhila nanikipambana aidha nitajinasua na haya madhila au nitakufa. Watanzania wote wakifikia hatua hiyo basi nchi itachangamka. Kwasababu kwa sasa nchi bado mbichi inalasilimali nyingi kwahiyo uwezo wanchi kuendelea kukopa bado mkubwa. Ila hizi lasilimali zikiisha tutaanza kulana si kwa sisi
 
Kumekuepo na hadaa za wanasiasa matapeli kuhubiri mabadiliko ya sheria za uchaguzi nnje kabisa ya wakati wa mabadiliko ya sheria na katiba, kana kwamba hayo ndiyo mahitaji muhimu zaidi kwa wananchi wa Tanzania kuliko maji, afya, elimu, kilimo, ufugaji, uvuvi, biashara, miundombinu, usafirishaji n.k

Lakini pia,
matapeli hao wa kisiasa nchini wanaendelea kuhadaa wananchi zaidi kwamba hitaji la waTanzania ni vyeo na mamlaka. Kwamba wananchi wanahitaji sana matapeli hao wa kisiasa wapate vyeo, kuliko mahitaji yao muhimu ya kila siku.

Na ndio maana,
agenda kubwa za wanasiasa hao waliofilisika hoja zimekua ni kujadili umri wa makamu mwenyekiti wa CCM bara, na na ubaguzi dhidi ya ukanda anakotoka rais Dr. Samia Suluhu Hassan na jinsia yake, kana kwamba ukiwa kiongozi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka upande wa Zanzibari Bara, ni kosa na ni anasa kubwa mno, huku wakijua wazi kabisa kua hakuna mtu anaweza kupata uongozi wa kitaifa Tanzania bila waZanzibari.

Ni vizuri kama wanasiasa kuibua hoja zenye mashiko kwa wakati sahihi na muafaka, kuliko kubwekabweka na kuwahadaa wananchi kwa vimisemo vitakavyowaathiri wenyewe na kuwakosesha fursa na haki zao za msingi, ikiwa ni pamoja na haki ya kupiga kura kuchagua viongozi ambao wanawataka kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.

Kumbuka,
hata mtua aimbe, alie, acheke, acheze au abwekebweke namna gani, uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania upo pale pale, ni Oct.2025 :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Danganya wajinga wenzio.
Uongozi bora una nafasi kubwa sana katika suala zima la maendeleo.
Bila uongozi bora na imara suala la maendeleo ni ndoto.
Nchi haiwezi kuendelea kwa kuwa na viongozi wajinga, wababaishaji na wasio na maono.
Viongozi bora hutokana na michakato bora ya uchaguzi, ya wazi na huru.
 
Natamani nione sura Yako na kujua elimu

Natamani kujua elimu Yako. Ni kwa sababu elimu Yako haikusaidia kujua kuwa katiba mbovu na tume mbovu inachangia kuweka viongozi wabovu wanaoshindwa kusimamia hayo unayosema ni ya msingi kwa maendeleo ya wananchi
Chawa kama huyo hawezi kukuelewa. Anawaza kwa kutumia tumbo hivyo hawezi kuwa na akili kamwe.
 
Ni ukweli usiopingika kwamba
Tanzania inahitaji katiba mpya, kwa manufaa mapana ya Taifa letu.
Ila si kwa manufaa ya watu wachache.
Kuwepo kwa katiba mpya kuna watu wanaweza wakapata hasara lakini kama kuna manufaa ya Taifa hatuna budi kuunda katiba mpya sasa na haraka sana.
 
Danganya wajinga wenzio.
Uongozi bora una nafasi kubwa sana katika suala zima la maendeleo.
Bila uongozi bora na imara suala la maendeleo ni ndoto.
Nchi haiwezi kuendelea kwa kuwa na viongozi wajinga, wababaishaji na wasio na maono.
Viongozi bora hutokana na michakato bora ya uchaguzi, ya wazi na huru.
makini mfuasi wa kibaka was siasa, ndo bas tena ushatapeliwa 🤣
 
Ni ukweli usiopingika kwamba
Tanzania inahitaji katiba mpya, kwa manufaa mapana ya Taifa letu.
Ila si kwa manufaa ya watu wachache.
Kuwepo kwa katiba mpya kuna watu wanaweza wakapata hasara lakini kama kuna manufaa ya Taifa hatuna budi kuunda katiba mpya sasa na haraka sana.
matapeli na vibaka wa siasa wanaweza kuwahadaa wachache miongoni mwenu kwamba hilo ndilo kipaumbele cha waTanzania kitu ambacho si kweli,

katiba ya Tanzania haitabadulishwa leo kesho ama keshokutwa, kipaumbele cha wananchi ni kupatiwa huduma bara za uhakika za maji, afya, elimu, kilimo n.k.

Poleni kuhangaishwa na matapeli katika siasa.
Kumbuka uchaguzi ni Oct mwaka huu 🐒
 
Chawa kama huyo hawezi kukuelewa. Anawaza kwa kutumia tumbo hivyo hawezi kuwa na akili kamwe.
aah pwagu na pwaguzi mnapeana moyo sio dah, mnapotoshana kindez kweli 🤣
 
Kumekuepo na hadaa za wanasiasa matapeli kuhubiri mabadiliko ya sheria za uchaguzi nnje kabisa ya wakati wa mabadiliko ya sheria na katiba, kana kwamba hayo ndiyo mahitaji muhimu zaidi kwa wananchi wa Tanzania kuliko maji, afya, elimu, kilimo, ufugaji, uvuvi, biashara, miundombinu, usafirishaji n.k

Lakini pia,
matapeli hao wa kisiasa nchini wanaendelea kuhadaa wananchi zaidi kwamba hitaji la waTanzania ni vyeo na mamlaka. Kwamba wananchi wanahitaji sana matapeli hao wa kisiasa wapate vyeo, kuliko mahitaji yao muhimu ya kila siku.

Na ndio maana,
agenda kubwa za wanasiasa hao waliofilisika hoja zimekua ni kujadili umri wa makamu mwenyekiti wa CCM bara, na na ubaguzi dhidi ya ukanda anakotoka rais Dr. Samia Suluhu Hassan na jinsia yake, kana kwamba ukiwa kiongozi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka upande wa Zanzibari Bara, ni kosa na ni anasa kubwa mno, huku wakijua wazi kabisa kua hakuna mtu anaweza kupata uongozi wa kitaifa Tanzania bila waZanzibari.

Ni vizuri kama wanasiasa kuibua hoja zenye mashiko kwa wakati sahihi na muafaka, kuliko kubwekabweka na kuwahadaa wananchi kwa vimisemo vitakavyowaathiri wenyewe na kuwakosesha fursa na haki zao za msingi, ikiwa ni pamoja na haki ya kupiga kura kuchagua viongozi ambao wanawataka kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.

Kumbuka,
hata mtua aimbe, alie, acheke, acheze au abwekebweke namna gani, uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania upo pale pale, ni Oct.2025 :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania

Hivi wewe Blaahblaah unaongelea uchaguzi au uteuzi?

1739721807850.png
 
Kumekuepo na hadaa za wanasiasa matapeli kuhubiri mabadiliko ya sheria za uchaguzi nnje kabisa ya wakati wa mabadiliko ya sheria na katiba, kana kwamba hayo ndiyo mahitaji muhimu zaidi kwa wananchi wa Tanzania kuliko maji, afya, elimu, kilimo, ufugaji, uvuvi, biashara, miundombinu, usafirishaji n.k

Lakini pia,
matapeli hao wa kisiasa nchini wanaendelea kuhadaa wananchi zaidi kwamba hitaji la waTanzania ni vyeo na mamlaka. Kwamba wananchi wanahitaji sana matapeli hao wa kisiasa wapate vyeo, kuliko mahitaji yao muhimu ya kila siku.

Na ndio maana,
agenda kubwa za wanasiasa hao waliofilisika hoja zimekua ni kujadili umri wa makamu mwenyekiti wa CCM bara, na na ubaguzi dhidi ya ukanda anakotoka rais Dr. Samia Suluhu Hassan na jinsia yake, kana kwamba ukiwa kiongozi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka upande wa Zanzibari Bara, ni kosa na ni anasa kubwa mno, huku wakijua wazi kabisa kua hakuna mtu anaweza kupata uongozi wa kitaifa Tanzania bila waZanzibari.

Ni vizuri kama wanasiasa kuibua hoja zenye mashiko kwa wakati sahihi na muafaka, kuliko kubwekabweka na kuwahadaa wananchi kwa vimisemo vitakavyowaathiri wenyewe na kuwakosesha fursa na haki zao za msingi, ikiwa ni pamoja na haki ya kupiga kura kuchagua viongozi ambao wanawataka kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.

Kumbuka,
hata mtua aimbe, alie, acheke, acheze au abwekebweke namna gani, uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania upo pale pale, ni Oct.2025 :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Ni mwendawazimu pekee atakayepinga HITAJI LA SHERIA MPYA za Uchaguzi na KATIBA MPYA.
Hizo changamoto ulizozitaja za maji, afya, elimu , umeme n.k hazitaisha kama tukiendelea na mfumo huu. Kwa sababu ya sheria mbovu za uchaguzi, tunapata wawakilishi wa wananchi, wanaoona umuhimu wa wapiga kura Uchaguzi unapokaribia na wakishinda huwa wanageuka mbogo dhidi ya Wananchi. Lakini pia, sheria tulizonazo kwa sasa, zinamfanya kiongozi wa kuchaguliwa, awe chawa wa kiongozi mkuu, kwani yeye ndiye mwenye hatima yake ya kisiasa.
Tunahitaji sheria mpya, sheria ambazo zitasimamia maamuzi ya wananchi waliowengi na si maamuzi ya kiongozi wa juu. Tukiweza hapo, tutapata viongozi Waadilifu, wenye hofu, wanaotambua nafasi ya Wapiga kura katika uongozi wao. Tukiwa na viongozi wa aina hiyo, hayo mengine uliyoyataja, ndipo yatatujia.

UKIACHA UBINAFSI, UKAWAZA KWA FAIDA YA WALIO WENGI, UTAKUBALIANA NA HAO WANAOHIMIZA MABADILIKO YA SHERIA. By the way, hata CCM, itatusaidia kuongoza vizuri.
 
Kumekuepo na hadaa za wanasiasa matapeli kuhubiri mabadiliko ya sheria za uchaguzi nnje kabisa ya wakati wa mabadiliko ya sheria na katiba, kana kwamba hayo ndiyo mahitaji muhimu zaidi kwa wananchi wa Tanzania kuliko maji, afya, elimu, kilimo, ufugaji, uvuvi, biashara, miundombinu, usafirishaji n.k

Lakini pia,
matapeli hao wa kisiasa nchini wanaendelea kuhadaa wananchi zaidi kwamba hitaji la waTanzania ni vyeo na mamlaka. Kwamba wananchi wanahitaji sana matapeli hao wa kisiasa wapate vyeo, kuliko mahitaji yao muhimu ya kila siku.

Na ndio maana,
agenda kubwa za wanasiasa hao waliofilisika hoja zimekua ni kujadili umri wa makamu mwenyekiti wa CCM bara, na na ubaguzi dhidi ya ukanda anakotoka rais Dr. Samia Suluhu Hassan na jinsia yake, kana kwamba ukiwa kiongozi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka upande wa Zanzibari Bara, ni kosa na ni anasa kubwa mno, huku wakijua wazi kabisa kua hakuna mtu anaweza kupata uongozi wa kitaifa Tanzania bila waZanzibari.

Ni vizuri kama wanasiasa kuibua hoja zenye mashiko kwa wakati sahihi na muafaka, kuliko kubwekabweka na kuwahadaa wananchi kwa vimisemo vitakavyowaathiri wenyewe na kuwakosesha fursa na haki zao za msingi, ikiwa ni pamoja na haki ya kupiga kura kuchagua viongozi ambao wanawataka kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.

Kumbuka,
hata mtua aimbe, alie, acheke, acheze au abwekebweke namna gani, uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania upo pale pale, ni Oct.2025 :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Huna akili
 
Back
Top Bottom