Niaje niaje, lengo la uzi wangu sio kubishana na mamlaka za serikali bali naomba kupata ufafanuzi. Nimelileta hapa jukwaani suala la DCC kukamata vile vitoyo vya kuchaji na kuvipiga faini kwa kupaki mjini na kuvilipisha parking ya tsh 50,000 kwa kila mwezi.
Je, ni sawa kulipisha hiyo pesa? Ipo kwa mujibu wa sheria? Maana isije kuwa mnatafuta sifa ili kumharibia Rais Samia kwenye kuelekea uchaguzi mkuu hapo baadaye
Kulikuwa na maneno mpaka kudai leseni ya kuendesha vile vidubwasha ambavyo kwa asilimia kubwa vimewaajili vijana walioamua kukataa tabia mbaya za mitaani na kuamua kujishughulisha
Je, ni sawa kulipisha pesa hiyo ya elfu 50 kwa mwezi?
Naomba wasomi na wachambuzi hapa jukwaani tulipitie kwa kina
Je, ni sawa kulipisha hiyo pesa? Ipo kwa mujibu wa sheria? Maana isije kuwa mnatafuta sifa ili kumharibia Rais Samia kwenye kuelekea uchaguzi mkuu hapo baadaye
Kulikuwa na maneno mpaka kudai leseni ya kuendesha vile vidubwasha ambavyo kwa asilimia kubwa vimewaajili vijana walioamua kukataa tabia mbaya za mitaani na kuamua kujishughulisha
Je, ni sawa kulipisha pesa hiyo ya elfu 50 kwa mwezi?
Naomba wasomi na wachambuzi hapa jukwaani tulipitie kwa kina