Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Hizo Allocation za mwaka jana mwaka huu Mwambie ataongezewaEbu fikiria vijana kama Hawa wengine hawana Wazazi,wamesoma shule za kata since primary na bado Ada ni 1.3milion mpaka 2.5milioni.lakini bodi inampa asilimia 49 tu kwa mwaka mtoto akafie mbele ,je wadau wa elimu wako wapi, viongoz wako wapi??View attachment 2404152
Nchi hii ngumu wanaoharibu lengo la kuanzishwa hii board na viongozi.Hebu fikiria vijana kama Hawa wengine hawana Wazazi, wamesoma shule za kata since primary na bado Ada ni 1.3milion mpaka 2.5milioni lakini bodi inampa asilimia 49 tu kwa mwaka mtoto akafie mbele, je wadau wa elimu wako wapi, viongoz wako wapi? View attachment 2404152
Hebu fikiria vijana kama Hawa wengine hawana Wazazi, wamesoma shule za kata since primary na bado Ada ni 1.3milion mpaka 2.5milioni lakini bodi inampa asilimia 49 tu kwa mwaka mtoto akafie mbele, je wadau wa elimu wako wapi, viongoz wako wapi? View attachment 2404152
Afadhali huyu amepata nyingi, kuna kijana ni yatima amepewa ada shilingi 800,000 tu ilhali chuo anachosoma MD ada ni 5,000,000 plus, na amesoma St Kayumba kuanzia chekechea hadi kidato cha tanoHebu fikiria vijana kama Hawa wengine hawana Wazazi, wamesoma shule za kata since primary na bado Ada ni 1.3milion mpaka 2.5milioni lakini bodi inampa asilimia 49 tu kwa mwaka mtoto akafie mbele, je wadau wa elimu wako wapi, viongoz wako wapi? View attachment 2404152
Course gani anasoma?Hebu fikiria vijana kama Hawa wengine hawana Wazazi, wamesoma shule za kata since primary na bado Ada ni 1.3milion mpaka 2.5milioni lakini bodi inampa asilimia 49 tu kwa mwaka mtoto akafie mbele, je wadau wa elimu wako wapi, viongoz wako wapi? View attachment 2404152
MechanicalCourse gani anasoma?
Watu kama hawa si walikuwa wanapewa 100% siku hizi mambo yamebadilika?Kozi za science hususani engineering
π π π 30% tuendelee kjuagiza namba E magariWatu kama hawa si walikuwa wanapewa 100% siku hizi mambo yamebadilika?
Kwa sasa zilipendwa.Watu kama hawa si walikuwa wanapewa 100% siku hizi mambo yamebadilika?
Shukuru mungu umepewa ela ndogo.Hebu fikiria vijana kama Hawa wengine hawana Wazazi, wamesoma shule za kata since primary na bado Ada ni 1.3milion mpaka 2.5milioni lakini bodi inampa asilimia 49 tu kwa mwaka mtoto akafie mbele, je wadau wa elimu wako wapi, viongoz wako wapi? View attachment 2404152