enovie
Member
- Mar 28, 2014
- 12
- 7
Taarifa zilizo sambaa katika magazeti mengi siku za hivi karibuni zinaoneseha wazi Simba SC inajipanga kutafuta mbadala wa kocha Omog aliyopo hivi sasa.
Ukiangalia Omog ameisaidia Simba SC kuirudisha katika mashindano ya kimataifa iliipigania kwa miaka mingi na makocha kedekede. Pia Omog ameisaidia kuitengeneza Simba SC kucheza soka safii kabisa linaloonekana hivi sasa. Omog pia amesaidia kutengeneza discipline ndani ya club akishirikiana na kocha Mayanja ambayo ilipotea kwa muda mrefu.
Omog amesaidia kuondoa tatizo la wachezaji kuchoka upesii ambalo ndo lilikuwa tatizo kubwa kwa wachezaji was Simba SC
JE NI SAHIHI KUMTIMUA KIPINDI HIKI
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiangalia Omog ameisaidia Simba SC kuirudisha katika mashindano ya kimataifa iliipigania kwa miaka mingi na makocha kedekede. Pia Omog ameisaidia kuitengeneza Simba SC kucheza soka safii kabisa linaloonekana hivi sasa. Omog pia amesaidia kutengeneza discipline ndani ya club akishirikiana na kocha Mayanja ambayo ilipotea kwa muda mrefu.
Omog amesaidia kuondoa tatizo la wachezaji kuchoka upesii ambalo ndo lilikuwa tatizo kubwa kwa wachezaji was Simba SC
JE NI SAHIHI KUMTIMUA KIPINDI HIKI
Sent using Jamii Forums mobile app