GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 309
Ni Tanzania pekee duniani fedha za walipa kodi hazilengi kumsaidia
mlipa kodi bali wachache. Vivyo hivyo walipa kodi wa Tanzania ndio
walipa kodi pekee duniani hawahoji hela zao zimetumika vipi kwa maslahi yao.
Wana Jf,
Ninaomba mnisaidie ufafanuzi. Nimesoma kwenye magazeti leo mwananchi.co.tz nikaona kuwa CCM inafanya mchujo wa wagombea umeya katika kikao kitakachofanyika DSM leo.
Nanukuu..... "Katibu Mkuu wa CCM Yusuph Makamba, jana aliliambia gazeti hili kwamba CC itakutana Ikulu chini ya uenyekiti wa Rais Jakaya Kikwete, kwa ajili ya kupitisha majina yasiyopungua matatu kupeleka kikao cha chama cha madiwani"
Kwa vile mimi najua iKULU ni mali ya serekali(wananchi walipakodi), je ni sahihi kikao cha chama kufanyika humo na kutumia rasilimali zilizopo kwa ajili ya matakwa ya chama chao?"
nawakilisha!
Hiyo mbona haina shida kabisa ni haki yao kabisa kuitumia ikulu
Wana Jf,
Ninaomba mnisaidie ufafanuzi. Nimesoma kwenye magazeti leo mwananchi.co.tz nikaona kuwa CCM inafanya mchujo wa wagombea umeya katika kikao kitakachofanyika DSM leo.
Nanukuu..... "Katibu Mkuu wa CCM Yusuph Makamba, jana aliliambia gazeti hili kwamba CC itakutana Ikulu chini ya uenyekiti wa Rais Jakaya Kikwete, kwa ajili ya kupitisha majina yasiyopungua matatu kupeleka kikao cha chama cha madiwani"
Kwa vile mimi najua iKULU ni mali ya serekali(wananchi walipakodi), je ni sahihi kikao cha chama kufanyika humo na kutumia rasilimali zilizopo kwa ajili ya matakwa ya chama chao?"
nawakilisha!
ni kweli....
wakati mwingine huwa najiuliza hivi huyu mkwere ni chaguo la mungu yupi kutuletea mtu mzembe namna hii????????????