The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Enzi za Nyerere, Chama kilikuwa kimeshika UTAMU .......!!Vikao vya Kamati Kuu ya CCM vimekuwa vikifanyika Ikulu tangu enzi za Mwl. Nyerere hadi leo enzi za Mama. Hakuna la ajabu hapo.
Mkapa was so principled, sikumbuki yeye kufanyia mikutano ya chama Magogoni.