Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Dharau kubwa sn kwa wananchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We, all Tanzanians are class unconscious! Sisi ni makondoo matakataka, all 60 million people!Chama kinaendeshwa kwa fedha za umma na sisi tupo kimya
Wewe unaona katiba iliopo inafuatwa na hao viongozi wa juuNchi yetu ni mali ya watanzania na muongozo wake ni katiba tuliyonayo.
Jana kwa hofu tena na aibu juu kamati kuu ya CCM imekutana usiku ikulu katika kujadiri mambo ya chama. Suala hili ni kinyume cha sheria kutumia ofisi ya umma kufanyia mkutano wa chama cha siasa.
CCM mna ofisi Lumumba, Dodoma mna majengo mawili pale JK Convertion centre pamoja na lile jengo lenu la bendera ya chuma Nendeni huko hata mkalale kabisa hakuna atakayewahoji lakini kutumia mali ya umma kufanyia kikao chenu ni big NO.
Mnatuudhi.
Actually, Samia ni katili kuliko Magufuli. kama alidiriki kusema kuwa hata mkishinda lakini CCM itaunda serikali, basi nilijua kuwa huyu mama ni Katili kuliko unavyoweza kufikiria. Sijui ni hulka ya watu hao! Sikutegemea kwa mwanamke kama yeyeDharau kubwa sn kwa wananchi
CCM nacho ni CHAMA CHA UMMA.........Nchi yetu ni mali ya watanzania na muongozo wake ni katiba tuliyonayo.
Jana kwa hofu tena na aibu juu kamati kuu ya CCM imekutana usiku ikulu katika kujadiri mambo ya chama. Suala hili ni kinyume cha sheria kutumia ofisi ya umma kufanyia mkutano wa chama cha siasa.
CCM mna ofisi Lumumba, Dodoma mna majengo mawili pale JK Convertion centre pamoja na lile jengo lenu la bendera ya chuma Nendeni huko hata mkalale kabisa hakuna atakayewahoji lakini kutumia mali ya umma kufanyia kikao chenu ni big NO.
Mnatuudhi.
🤣🤣Leo mh.Samia amekua ni zaidi ya mtu mliyekesha KUMSHAMBULIA, KUMZODOA NA KUMLAANI 😲Actually, Samia ni katili kuliko Magufuli. kama alidiriki kusema kuwa hata mkishinda lakini CCM itaunda serikali, basi nilijua kuwa huyu mama ni Katili kuliko unavyoweza kufikiria. Sijui ni hulka ya watu hao! Sikutegemea kwa mwanamke kama yeye
Umeniwahi mkuu. Nilitaka kumwelewesha hivo japo sidhani Kama atakuwa kakuelewa maana ukiwa ccm lazima uwe huna akili.Kufanyika mara nyingi hakuhalalishi jambo.
Watu wakiuua mara nyingi, does it make murder legal?
Mkuu, Mama alishasema yeye na mwendazake ni kitu kimoja. Haipaswi tena kumtafuta aliye hai katika wafu, ni lazima tutegemee njia zote alizozipitia mwendazake ndizo naye atazifuata.Nchi yetu ni mali ya watanzania na muongozo wake ni katiba tuliyonayo.
Jana kwa hofu tena na aibu juu kamati kuu ya CCM imekutana usiku ikulu katika kujadiri mambo ya chama. Suala hili ni kinyume cha sheria kutumia ofisi ya umma kufanyia mkutano wa chama cha siasa.
CCM mna ofisi Lumumba, Dodoma mna majengo mawili pale JK Convertion centre pamoja na lile jengo lenu la bendera ya chuma Nendeni huko hata mkalale kabisa hakuna atakayewahoji lakini kutumia mali ya umma kufanyia kikao chenu ni big NO.
Mnatuudhi.
Wabongo wameshaamka.....hawataki ujinga wa TIGRAY ,Kongo ,Somalia na kwengineko.....bora uwe na amani na utulivu huku ukila mlo mmoja kuliko "MILO 3 KATIKATI YA UWANJA WA MACHAFUKO"Kwa sababu ni wababe na hamna la kuwafanya nchi wameiweka kwenye kiganja
Wao ndio final say wao ndio katiba whether you like it or not
Plus wabongo bado ni misekule wamelala hawajaamka
Hafai ni mtu hatari snActually, Samia ni katili kuliko Magufuli. kama alidiriki kusema kuwa hata mkishinda lakini CCM itaunda serikali, basi nilijua kuwa huyu mama ni Katili kuliko unavyoweza kufikiria. Sijui ni hulka ya watu hao! Sikutegemea kwa mwanamke kama yeye
Hatari snWe, all Tanzanians are class unconscious! Sisi ni makondoo matakataka, all 60 million people!
Kwahiyo mnaenzi kila kila kitendo hata kama walikuwa wanajisodoma?Kwa hili la Vikao vya CCM ni halali kwasababu ni utaratibu uliokuwepo. Na kila kiongozi wa CCM anauenzi utaratibu hata kama Kuna wavimba macho wachache wanaoupinga. Hayo ya kuua muulize Gaidi Mbowe!
Kusodoma tunakupinga kwa nguvu zote ndio maana Watanzania tulimkataa Lissu 2020 ili asituletee mambo hayo!Kwahiyo mnaenzi kila kila kitendo hata kama walikuwa wanajisodoma?
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Ndio.
😲😲🤣🤣Hafai ni mtu hatari sn