Ni halali CCM kufanyia vikao Ikulu?

Ni halali CCM kufanyia vikao Ikulu?

😲😲🤣🤣

Alipokwenda kumzuru Tundu Lissu kule Kenya ....ALIFAA NA MTU MZURI SANA!

Serikali yake ilipowaacha huru UAMSHO.....ALIFAA NA MTU MZURI SANA!!!

Serikali yake ILIPOMUACHIA HURU MDUDE NYAGALI....ALIFAA NA MTU MZURI SANA.....

Kesi ya Mbowe....wakarudishiwa milioni 300.....ALIFAA NA MTU MZURI SANA......

Rais si wa KUENDESHWA na RIMOTI CONTROL na CHADEMA NA WENGINEO.....


ENDELEENI KUUFUKUZA UPEPO
Endelea kushangilia ujinga siku akimbana dingi yako ndiyo akili zitarudi
 
Wabongo wameshaamka.....hawataki ujinga wa TIGRAY ,Kongo ,Somalia na kwengineko.....bora uwe na amani na utulivu huku ukila mlo mmoja kuliko "MILO 3 KATIKATI YA UWANJA WA MACHAFUKO"


#SiempreCCM
#TujitokezeniKuchanjwa
#NchiKwanza
#KaziIendelee
Hayo uliyoyaorodhesha ndiyo tamanio la Ccm yenyewe. Hawako tayari kuona WaTz wakiwakataa kwa njia kura. Watadhulumu mradi wanajua bunduki ziko nyuma yao.
 
Endelea kushangilia ujinga siku akimbana dingi yako ndiyo akili zitarudi
Dingi yangu si mwanasiasa....

Haandamani KISIASA Wala KIDINI....

Anaitii serikali kwa kuwa maandiko yamemtaka hivyo.....

Yuko na jembe lake....

#KaziInaendelea
#SerikaliMbiliMilele
 
Nchi yetu ni mali ya watanzania na muongozo wake ni katiba tuliyonayo.

Jana kwa hofu tena na aibu juu kamati kuu ya CCM imekutana usiku ikulu katika kujadiri mambo ya chama. Suala hili ni kinyume cha sheria kutumia ofisi ya umma kufanyia mkutano wa chama cha siasa.

CCM mna ofisi Lumumba, Dodoma mna majengo mawili pale JK Convertion centre pamoja na lile jengo lenu la bendera ya chuma Nendeni huko hata mkalale kabisa hakuna atakayewahoji lakini kutumia mali ya umma kufanyia kikao chenu ni big NO.

Mnatuudhi.
ACHA CHOYO, MAONO MAFUPI NA AKILI MBOVU
 
Nchi yetu ni mali ya watanzania na muongozo wake ni katiba tuliyonayo.

Jana kwa hofu tena na aibu juu kamati kuu ya CCM imekutana usiku ikulu katika kujadiri mambo ya chama. Suala hili ni kinyume cha sheria kutumia ofisi ya umma kufanyia mkutano wa chama cha siasa.

CCM mna ofisi Lumumba, Dodoma mna majengo mawili pale JK Convertion centre pamoja na lile jengo lenu la bendera ya chuma Nendeni huko hata mkalale kabisa hakuna atakayewahoji lakini kutumia mali ya umma kufanyia kikao chenu ni big NO.

Mnatuudhi.
AWAMU YA UBABE HII na KUBAMBIKIA WATU KESI
 
Yule jamaa ameharibu sana mifumo aisee nchi inatakiwa iwe formated Ili kutengeneza mifumo mipya
 
Vikao vya Kamati Kuu ya CCM vimekuwa vikifanyika Ikulu tangu enzi za Mwl. Nyerere hadi leo enzi za Mama. Hakuna la ajabu hapo.
Wakati wa mwalimu kuanzia mwaka 65 kulikuwa na chama kimoja mpaka anaondoka. By the way kinachogombwa hapa ni Sheria. You are setting a bad example.
 
[emoji1787][emoji1787]Leo mh.Samia amekua ni zaidi ya mtu mliyekesha KUMSHAMBULIA, KUMZODOA NA KUMLAANI [emoji44]

Si katili....bali ni majukumu tu ya RAIS WA NCHI.....

#SiempreCCM
#SiempreJMT
#PundaAfeMzigoUfike
#MzigoWenyeweNiAmaniNaUtulivuWaNchi
#KaziIendelee
Amani ! My foot
 
Nchi yetu ni mali ya watanzania na muongozo wake ni katiba tuliyonayo.

Jana kwa hofu tena na aibu juu kamati kuu ya CCM imekutana usiku ikulu katika kujadiri mambo ya chama. Suala hili ni kinyume cha sheria kutumia ofisi ya umma kufanyia mkutano wa chama cha siasa.

CCM mna ofisi Lumumba, Dodoma mna majengo mawili pale JK Convertion centre pamoja na lile jengo lenu la bendera ya chuma Nendeni huko hata mkalale kabisa hakuna atakayewahoji lakini kutumia mali ya umma kufanyia kikao chenu ni big NO.

Mnatuudhi.
Who care
 
waacheni wajinafasi kwani CCM ndio inatawala nchi hii zaidi ya miaka 50 kwa nn haswa wajibane!!!
 
Dingi yangu si mwanasiasa....

Haandamani KISIASA Wala KIDINI....

Anaitii serikali kwa kuwa maandiko yamemtaka hivyo.....

Yuko na jembe lake....

#KaziInaendelea
#SerikaliMbiliMilele
Uoga wake ndiyo umetufikisha hapa, watu wanakula pesa ya umma bila uoga, hata Iddi Amini ilikuwa ni mamlaka kama zilivyo zingine.
 
Kwa hili la Vikao vya CCM ni halali kwasababu ni utaratibu uliokuwepo. Na kila kiongozi wa CCM anauenzi utaratibu hata kama Kuna wavimba macho wachache wanaoupinga. Hayo ya kuua muulize Gaidi Mbowe!
Kumbe ni wew, nilitaka kushangaa ni nani huyu tena kawa headless chicken
 
Vikao vya Kamati Kuu ya CCM vimekuwa vikifanyika Ikulu tangu enzi za Mwl. Nyerere hadi leo enzi za Mama. Hakuna la ajabu hapo.
KWA HIYO KITU KIKIFANYIKA MARA NYINGI HUGEUKA KUWA HALALI HATA KAMA NI HARAMU?

Usisahau, mtu anayekuwa Rais, huwa anakuwa na madaraka au majukumu mbalimbali... Sasa kila huko aliko na jukumu wakiamua waende ikulu kujenga mambo yao watakuwa wanafanya halali? Mfano, rais yeyote aliyeko madarakani, huwa vile vile ni baba au mama wa familia. Sasa mnataka mabinamu wakiwa na shida ya kikao naye waende wakafanyie ikulu kwa vile tu mwenzao ni rais?

The best way ni kufanya jambo husika kwenye mazingira husika. Akihitajika na familia wakakutane kwenye majengo au maeneoa ya kifamilia, au akitakiwa na chama husika kama ni mwenyekiti, basi waende makao makuu ya chama hicho..!! SIMPO
 
Nchi yetu ni mali ya watanzania na muongozo wake ni katiba tuliyonayo.

Jana kwa hofu tena na aibu juu kamati kuu ya CCM imekutana usiku ikulu katika kujadiri mambo ya chama.

Suala hili ni kinyume cha sheria kutumia ofisi ya umma kufanyia mkutano wa chama cha siasa.

CCM mna ofisi Lumumba, Dodoma mna majengo mawili pale JK Convertion centre pamoja na lile jengo lenu la bendera ya chuma Nendeni huko hata mkalale kabisa hakuna atakayewahoji lakini kutumia mali ya umma kufanyia kikao chenu ni big NO.

Mnatuudhi.
Mkuu duniani kote hakuna wanachama wanaopenda sifa Kama wanachama wa ccm,
 
Back
Top Bottom