The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Inaelekea chama bado kimeshika UTAMU ............ sorry, HATAMU!!Jamani nimeona kwenye vyombo vya habari kuwa kuna kikao cha chama kinaendelea Ikulu. Sasa mimi najua wale wengine waliisha pigwa stop siasa mpaka 2020 na mikutano marufufu hata ile ya ndani ni shida tu kila siku wanafurushwa sasa iweje hawa wanafanya tena kwenye nyumba ya umma? je hawa wengine nao wakiomba kwenda kufanyia vikao vyao kumbi za Ikulu wataruhusiwa?