Mleta mada,kwa kweli watanzania tumeona ajabu sana. Hata mahakama ilitoa amri kuwa dowans isifanyiwe mazungumzo yoyote nje ya mahakama. Kwa ukaidi wa kutosha,dowans wamewarithisha business deal ile ile ya umeme,tena Tanesco na tayari tunaitumia tupende tusipende. Baada ya rais wetu kugundua kuwa mgao umemwendea mkoloni beberu marekani,ameamua kuikaribisha ikulu Symbion ltd ,na mama kilintoni wa marekani kukubaliana! Rais ni mjanja,ukigoma marekani waweza fanya lolote kama kule irak,afghan,n.k. Hawa watu ambao wamenunua mitambo ni mashushu wa marekani. Hapa tuandike mioyon kuwa tumerud kwenye ukoloni. Mpaka sasa hamna mtu yeyote au mwanasiasa yeyote mwenye jeuri la kuipinga marekani,tutulie mamekuja kufanya watakavyo!