Mwamatandala
Member
- Jul 17, 2009
- 44
- 3
Bado ningali na kigugumizi na sintofahamu baada ya kampuni ya kimarekani symbion kununua mitambo ya dowans.Ninachofahamu,kwa mujibu wa utaratibu wa kimahakama,shauri lolote lililo mahakamani hakuna mtu wala taasisi inayoruhusiwa kulizungumzia wala kuendesha mchakato wowote.kama ni hivyo,kwanini dowans imeuzwa tena utaratibu ukipata baraka kutoka kwa kiongozi wa ngazi ya juu ya serikali ya marekani ambaye alitembelea mitambo hiyo.AU KUNA BAADHI YA WATU WAPO JUU YA SHERIA.?
NAWASILISHA.
NAWASILISHA.