FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJIVU NA usile nyama siku ya ijumaa na siku nyingine zilizo katazwa .ni amri ya kanisa..kwa katoliki labda uko kwenu madhehebu mengine ndo hadi ufunge
You surprised me BonieU didn't expect?
You dont love suprises?You surprised me Bonie
kwa bahati mbaya mkuuUmeipunguza hiyo amri kwa bahati mbaya au makusudi?
I love it!! And happy to be part of yo family[emoji128]You dont love suprises?
I love it!! And happy to be part of yo family[emoji128]
Kifungu gani au mstari gani katika biblia unakataza watu kula nyama Siku ya Leo?usile nyama siku ya ijumaa na siku nyingine zilizo katazwa .ni amri ya kanisa..kwa katoliki labda uko kwenu madhehebu mengine ndo hadi ufunge
Kongoro ni kitembeleo sio[emoji2] [emoji2]Hata kongoro kulaaa
Dhambi jamaniWe kulaa tu mkuu...hana shida kabisa,,hvyo visheria vimewekwa na watu kama wewe tu,mimi nachoma mbuzi leo
MhKKKT sisi hatuna shida.. wakatoliki ndio imani yao.. ila hata kwa wakatoliki naowajua samaki huwa wanakula
Mimi ni KKKTDhambi jamani
Na mm ni KKKT lakini nyama hailiwiMimi ni KKKT
Sasa leo tukinywa yale makitu yetu tunashushia na nini?Na mm ni KKKT lakini nyama hailiwi
Wewe kaungame tu usitafute kuhalalisha dhambi, yaani unakwanyua minofu ya samaki afu unaamini hiyo siyo nyama???Mi leo nimekula samaki jamani, nadhani samaki sio tatizo kwa ijumaa kuu,
labda kwa wale wenye imani kwamba samaki alimmeza Yona hivyo hawawezi kula samaki