Ni halali kulipa mahari kwa mwanamke ambaye sio bikra?

Halaf wanawake wasio bikra wanavojifanyaga wana wivu kwenye mahusiano matapeli wakubwa hawa
 
Kunamhubiri mmoja Riverside alisema mwananke sio bikra hiyo mke wa mwenzio aliemtoa aisee akaomba tukatubu tunaojiita tunawake ambao atukuwakuta bikra(siomm)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…