Kama wanaume wote tukifanya hivi wazazi watawalinda mabinti zao, na mabinti watajilinda.
Wadada wote waliotolewa ubikra walitoa penzi pasipo kibakwa. Labda ni 0.00001% tu ndio waliopoteza bikra kwa kubakwa.
Jukumu la kulinda bikra ni la mzazi na Binti mwenyewe na si kijana wa kiume. Kijana wa kiume ukilegeza lazima akutoe bikra.
Hakuna mwanaume mwenye akili timamu akafurahia ndoa yake kwa 100% huku akijua
bikra ya mke wake hakuitoa yeye.
Jamii irudi katika mstari wake.
Huyu shangingi anamuuliza mwanahabari Dunia hii bikra ataitoa wapi ?
Kwani hiyo bikra ya msichana siku hizi inaibwa na wachawi?
Huyu mwamba nitatafuta namba yake tumfanyie harambee kwa kukataa kubebeshwa zigo.
View attachment 3072216