Ni halali kulipa mahari kwa mwanamke ambaye sio bikra?

Ni halali kulipa mahari kwa mwanamke ambaye sio bikra?

Wakuu pokeeni salamu zangu,
Mahari kama inavyochukuliwa na jamii nishukrani kwa wazee kwa ajili ya kumtunza binti, kwa hali ya sasa ilivyo ni vigumu kupata binti aliyejitunza mpaka siku ya ndoa hivyo kuondoa dhana nzima ya kutoa mahari,

Mimi kwa binafsi yangu nimeapa sitoi mahari kwa binti ambaye sio bikra labda anipe mwenyewe nikatoe kwao ila mfukoni kwangu never hata mchumba wangu wa sasa anajua sina mpango wa kumtolea mahari kila akinigusia namwambia sijajiandaa

Nilipeleleza kwao ni kama 2million wanahitaji na alikua tayari kuchanga 1million ila namsubirisha namwambia nina mipango mingine ya kujiendeleza kielimu na kujenga nataka mpaka atoe yote mwenyewe yaani nichukue scrapper for 2m ya nini yote hiyo.

je, mdau unaona ni halali kulipishwa mamilioni kwa ajili ya mwanamke asiye bikra?
Mbona nguo na viatu vya mitumba unalipia pesa?
 
Najua thamani ya bikira, lakini kwa nini inaonekana kudaiwa sana kwa Mwanamke peke yake? Ndio maana linaitwa tendo la ndoa, nje ya hapo ni kosa sio kwa Mwanamke wala mwanaume.

Nikirudi kwenye hoja yako, hauna haja hata ya kuoa huyo mchumba wako, utamnyanyasa sana.
Ungekua ni mtu wa msimamo kiasi hicho, ungekua bikira na ungetafuta bikira.
Asante sana
 
Hii mada ni ngumu sana kupata muafaka, ukizingatia hiki kizazi cha sasa, mtoto wa kike anatolewa bikira kabla hajavunja ungo..!!
 
Mbona nguo na viatu vya mitumba unalipia pesa?
hahaa mkuu unawaponda huku ukijua unawatetea unawafananisha na vitu vya mtumba tunavyonunua bei che.
 
Wakuu pokeeni salamu zangu,
Mahari kama inavyochukuliwa na jamii nishukrani kwa wazee kwa ajili ya kumtunza binti, kwa hali ya sasa ilivyo ni vigumu kupata binti aliyejitunza mpaka siku ya ndoa hivyo kuondoa dhana nzima ya kutoa mahari,

Mimi kwa binafsi yangu nimeapa sitoi mahari kwa binti ambaye sio bikra labda anipe mwenyewe nikatoe kwao ila mfukoni kwangu never hata mchumba wangu wa sasa anajua sina mpango wa kumtolea mahari kila akinigusia namwambia sijajiandaa

Nilipeleleza kwao ni kama 2million wanahitaji na alikua tayari kuchanga 1million ila namsubirisha namwambia nina mipango mingine ya kujiendeleza kielimu na kujenga nataka mpaka atoe yote mwenyewe yaani nichukue scrapper for 2m ya nini yote hiyo.

je, mdau unaona ni halali kulipishwa mamilioni kwa ajili ya mwanamke asiye bikra?
Hao mbuzi wanaotoa bikra za wadada wako wapi kwanza?
Waje tukae kikao.
 
Kama wanaume wote tukifanya hivi wazazi watawalinda mabinti zao, na mabinti watajilinda.
Wadada wote waliotolewa ubikra walitoa penzi pasipo kubakwa. Labda ni 0.00001% tu ndio waliopoteza bikra kwa kubakwa.
Jukumu la kulinda bikra ni la mzazi na Binti mwenyewe na si kijana wa kiume. Kijana wa kiume ukilegeza lazima akutoe bikra.
Hakuna mwanaume mwenye akili timamu akafurahia ndoa yake kwa 100% huku akijua
bikra ya mke wake hakuitoa yeye.
Jamii irudi katika mstari wake.
Huyu shangingi anamuuliza mwanahabari Dunia hii bikra ataitoa wapi ?
Kwani hiyo bikra ya msichana siku hizi inaibwa na wachawi?
Huyu mwamba nitatafuta namba yake tumfanyie harambee kwa kukataa kubebeshwa zigo.
 
Kama wanaume wote tukifanya hivi wazazi watawalinda mabinti zao, na mabinti watajilinda.
Wadada wote waliotolewa ubikra walitoa penzi pasipo kibakwa. Labda ni 0.00001% tu ndio waliopoteza bikra kwa kubakwa.
Jukumu la kulinda bikra ni la mzazi na Binti mwenyewe na si kijana wa kiume. Kijana wa kiume ukilegeza lazima akutoe bikra.
Hakuna mwanaume mwenye akili timamu akafurahia ndoa yake kwa 100% huku akijua
bikra ya mke wake hakuitoa yeye.
Jamii irudi katika mstari wake.
Huyu shangingi anamuuliza mwanahabari Dunia hii bikra ataitoa wapi ?
Kwani hiyo bikra ya msichana siku hizi inaibwa na wachawi?
Huyu mwamba nitatafuta namba yake tumfanyie harambee kwa kukataa kubebeshwa zigo.
View attachment 3072216
Huyu mwanamke anayesimulia ni wale ''made in uswazi'' pure. Uswahili mtupu na maneno kama amemeza cherehani. Halafu body language yake basi. Uswahili wa namna hii ndiyo umeathiri hata maendeleo ya Tanzania. Kla kitu ni maneno mengi. Pumbafu.
 
Ukiskia kua historia kabla ya siku zako hazijafika ndo hii sasa
 
Dah uongo sio mzuri ila pia kuguezia gia angani ni ujinga uliotukuka

Kwa zama hizi bikra sio issue ila kipengele ni mileage sasa😂😂

Je gari limetembea kilomita ngapi???

Kuna wengine wametembea kilomita nyingi ila miili yao iko vyema unakutana na kinanda kama ndinga imetoka kiwandani juzi

Kuna wengine sasa wamechoooka, hapo lazima umkache
 
Back
Top Bottom