Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli? Na ukishindwa kuulipa je[emoji45] [emoji45]Mkopo upo wazi, OA kwa mkopo bro!!!. Ndio habari ya mjini
Tena kubwa sana wangu!kazi
Ndo hapo chachaKwani wewe ni bikra?
kwani sie tunatolewa mahari mpaka tukaguliwe?
Mwache aende atakutana na aliye tayari kumlipia hiyo mahari na wewe endelea kutafuta unused wakati umri unasonga mbele.mahari ni zawadi ya kumtunza binti, sasa binti hajatunzwa unatoa mahari ya nini.
Wakitaka kumchukua mtoto wao watakuja ila hakikisha amezaa angalau watoto watatu, hawatakuja kukusumbua tena. Then utalipa mahali kadri Mungu atakavyokuongoza, wengi miaka hii wanaoa hivyo, usije ukaona harusi nyingi ukadhani wote wanakuwa wamelipa mahali la hasha! bali ni baraka za wazazi kulidhia mtoto wao atoke nyumbani hata kwa mkopo ila kwa FURAHA TELE kwa kuchanga michango ya sherehe tuu!!Kweli? Na ukishindwa kuulipa je[emoji45] [emoji45]
Ilichukuliwa na mjanja.ikaenda wapi after 28?
Kimama na kibaba hakunaga penetration inakuwa kusagana tu!Kwani unalipia mahari bikra?
If yes kalipie za watoto wa watu uliowalala tangu enzi za kimama na kibaba.
Sasa akalipie yeye mahari asituachie open camel toes hata sisi tunaweza kuzitoa bikra,amekutoa akaenda kutoa na wengine sasa anamtobolea nani?Ilichukuliwa na mjanja.
Du si nilienda mwenyewe kwani nililazimishwa? mie ndie mjinga.Lawama zote nazibeba mie.Sasa akalipie yeye mahari asituachie open camel toes hata sisi tunaweza kuzitoa bikra,amekutoa akaenda kutoa na wengine sasa anamtobolea nani?
Asante kwa kukubali Ujinga,sasa ukipata mtu mwingine usimlazimishe kulipa mahari muache atumieeee hadi aamue yeye kwenda kutoa mahari,tena aamue yeye anatoa kiasi gani!Okay?Du si nilienda mwenyewe kwani nililazimishwa? mie ndie mjinga.Lawama zote nazibeba mie.
mzee umemkamata balaaaAsante kwa kukubali Ujinga,sasa ukipata mtu mwingine usimlazimishe kulipa mahari muache atumieeee hadi aamue yeye kwenda kutoa mahari,tena aamue yeye anatoa kiasi gani!Okay?
Hana mume kabisa khaaaDaah..hata huyo unaemuoa atapata shida..ajue kwamba hana mume..si kwa dharau hizo..kumuita mwenzio screpa