ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 7,895
- 13,643
He he he! ukute mtu alioa 'used equipment' kwa mahari ya 5M na hajawahi kumtoa mtu bikra, lazima atamani kummezaa mtu.mkuu unawapa hasira wadau waliooa used kwa gharama.
Ukioa bikra huwezi kusikia eti huyu alikuwa EX- wangu, loh! tofauti na hapo jiandae kuwa na msusuru wa ME wenzio wanaojikumbusha enzi na Mkeo kwa kumpiga miti.