Ni halali kulipa mahari kwa mwanamke ambaye sio bikra?

Ni halali kulipa mahari kwa mwanamke ambaye sio bikra?

Kwani unalipia mahari bikra?
If yes kalipie za watoto wa watu uliowalala tangu enzi za kimama na kibaba.
Nadhani angekuwakaufanya huo mchezo asingekuwa analalamika hapa unless una ushahidi kwamba aliushiriki ndio umwagize hivi.
 
Kuna raha yake aisee kuoa Bikra,.....hamu ya kuchepuka inakata.....una mheshimu na kumthamini mkeo kuliko yeyote.....Mwanaume ukipata mke bikra unakuwa na huruma sana kwake.....hata akikufanyia kosa utamsamehe kirahisi tu maana ukikumbuka alivyojitunza kwaajili yako, unapata kaufahari flani.

Lakini kuoa Used material yakupasa uwe na moyo!....Ukivuta picha kuwa alikuwa mtu wa 'blow job', alafu wewe ukalipe mamilioni kama mahari dah! noma sana.....Inabidi ucalculate depreciation cost.
 
Wakuu pokeeni salamu zangu,
Mahari kama inavyochukuliwa na jamii nishukrani kwa wazee kwa ajili ya kumtunza binti, kwa hali ya sasa ilivyo ni vigumu kupata binti aliyejitunza mpaka siku ya ndoa hivyo kuondoa dhana nzima ya kutoa mahari,

Mimi kwa binafsi yangu nimeapa sitoi mahari kwa binti ambaye sio bikra labda anipe mwenyewe nikatoe kwao ila mfukoni kwangu never hata mchumba wangu wa sasa anajua sina mpango wa kumtolea mahari kila akinigusia namwambia sijajiandaa

Nilipeleleza kwao ni kama 2million wanahitaji na alikua tayari kuchanga 1million ila namsubirisha namwambia nina mipango mingine ya kujiendeleza kielimu na kujenga nataka mpaka atoe yote mwenyewe yaani nichukue scrapper for 2m ya nini yote hiyo.

je, mdau unaona ni halali kulipishwa mamilioni kwa ajili ya mwanamke asiye bikra?
Acha hizo kaka, wewe nawe bikra? Hizo bikra wanatolewa na miti?
 
Nadhani angekuwakaufanya huo mchezo asingekuwa analalamika hapa unless una ushahidi kwamba aliushiriki ndio umwagize hivi.
Wewe unamsemea kama nani?
Nilijua yeye ndio kajitetea hajawahi ,kumbe ni wewe.
Tulia ajibu mwenyew.
 
Kwa kweli siafiki kabisa mahari kwa mtu asiye bikra, unalipa vipi kitu ambacho hakina ubora wake.

Dhana ya mahari kwa zama za kale ilikuwa na maana kubwa sana na haviendani na kile kinachofanywa kwa sasa.
Hapa waliogawa bikra kabla ya ndoa watatokwa povu tu ila ndo ukweli mahari na bikra ni vitu vyenye uhusiano wa karibu sana. Halafu eti anauliza kama mwanaume naye ni bikra kama vile mwanaume naye huwa analipiwa mahari!! Kama uligawa bikra kamuombe hela uliyemgawia, wenzenu wajanja mbele wanaziuza kwa hela ndefu (gugo hiyo ujionee).
 
mkuu hujui thamani ya bikra wewe
shalet wala usijari wewe muache ataolewa na ambao hawataki bikra tena watamuonga hadi gari nyumba etc. kumbuka na dada zako hawana bikra. shalet nimekushangaa sana una maneno makariiiiii hivi? scra.......
 
Najua thamani ya bikira, lakini kwa nini inaonekana kudaiwa sana kwa Mwanamke peke yake? Ndio maana linaitwa tendo la ndoa, nje ya hapo ni kosa sio kwa Mwanamke wala mwanaume.

Nikirudi kwenye hoja yako, hauna haja hata ya kuoa huyo mchumba wako, utamnyanyasa sana.
Ungekua ni mtu wa msimamo kiasi hicho, ungekua bikira na ungetafuta bikira.
Kwani wapi kaidai? Kaoneshwa tu kutokuridhika kulipia mahari kitu used. Kama yeye hailipiwi mahari kwa nini mwanamke alipiwe!!
 
Lipa wewe bikra kwanza wanasumbua halafu kuna bikra Feki angalia musipende bikra Tumia Used
637edef19bb6190da7c6bff71d7fadf3.jpg
 
Wengi wameolewa na machenza ndoa zao wameshindwa uzitunza. Na wangapi wameolewa wan chungwa na mpk ss
asa ndoa zao zinadunda?
Hizi ishu huwa hazina uhusiano. Kama mtu ni bikra akaolewa akashindwa kutunza ndoa haina maana kwamba angeolewa bila bikra ndo angeweza au kinyume chake. Kifupi huwa sioni mantiki ya kulinganisha haya mambo mawili
 
Kwani unalipia mahari bikra?
If yes kalipie za watoto wa watu uliowalala tangu enzi za kimama na kibaba.
Teh teh, halafu wazazi wenu wanataka mahari kubwa, wakati hakuna kitu. Mahari is directly proportional to bikra, huna bikra unataka mahari ya mamilioni! I'll always be against mahari, haswa kwa kizazi chetu kilichokengeuka.
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. (Scriptures)
Nina mashaka na kiwango cha elimu au uelewa wa mleta mada.
Kwanini binadamu tupo so selfish? Binti ajitunze wewe ujichapie, Hao uliotoa waolewe na nan??

Mwanamke bikira sitaki. Akitokea "God knwos" Ila ntaoa hawa hawa tulionao huku uswazi.
Wewe hujaelewa mada. Ishu hapa ni kulipia mahari
 
Wakuu pokeeni salamu zangu,
Mahari kama inavyochukuliwa na jamii nishukrani kwa wazee kwa ajili ya kumtunza binti, kwa hali ya sasa ilivyo ni vigumu kupata binti aliyejitunza mpaka siku ya ndoa hivyo kuondoa dhana nzima ya kutoa mahari,

Mimi kwa binafsi yangu nimeapa sitoi mahari kwa binti ambaye sio bikra labda anipe mwenyewe nikatoe kwao ila mfukoni kwangu never hata mchumba wangu wa sasa anajua sina mpango wa kumtolea mahari kila akinigusia namwambia sijajiandaa

Nilipeleleza kwao ni kama 2million wanahitaji na alikua tayari kuchanga 1million ila namsubirisha namwambia nina mipango mingine ya kujiendeleza kielimu na kujenga nataka mpaka atoe yote mwenyewe yaani nichukue scrapper for 2m ya nini yote hiyo.

je, mdau unaona ni halali kulipishwa mamilioni kwa ajili ya mwanamke asiye bikra?
Eti nataka yote atoe mwenyewe, wewe huoni aibu mwanaume mzima kutolewa mahari na mwanamke? Sasa hapo utakua umeoa au umeolewa!!? [emoji57]
 
Eti nataka yote atoe mwenyewe, wewe huoni aibu mwanaume mzima kutolewa mahari na mwanamke? Sasa hapo utakua umeoa au umeolewa!!? [emoji57]
Aone aibu kwa lipi? Hapo katolewa mahari au kachukua mzigo bure?
 
Kwa kweli siafiki kabisa mahari kwa mtu asiye bikra, unalipa vipi kitu ambacho hakina ubora wake.

Dhana ya mahari kwa zama za kale ilikuwa na maana kubwa sana na haviendani na kile kinachofanywa kwa sasa.
Ukimpata mwenye bikira unaongezeka kitu gani?
 
Teh teh, halafu wazazi wenu wanataka mahari kubwa, wakati hakuna kitu. Mahari is directly proportional to bikra, huna bikra unataka mahari ya mamilioni! I'll always be against mahari, haswa kwa kizazi chetu kilichokengeuka.
Haya
 
Back
Top Bottom