Ni halali kulipa mahari kwa mwanamke ambaye sio bikra?

Ni halali kulipa mahari kwa mwanamke ambaye sio bikra?

jiulize pia ni halali kututoa bikra kabla hamjatuoa,pia no halali kutulala siye tulikwisha tolewa bikra.coz ninachokiona hapo unathaminisha.....bas kama unayemvulia nguo akaona uume wako je ni halali kumfanyia ivo be4 marriage?
 
ushamchoka binti wa watu..... mahari na bikra ni vitu 2 tofauti kabisa......wewe endelea kula mzigo tuu.....bikira zipo china these day....
 
jiulize pia ni halali kututoa bikra kabla hamjatuoa,pia no halali kutulala siye tulikwisha tolewa bikra.coz ninachokiona hapo unathaminisha.....bas kama unayemvulia nguo akaona uume wako je ni halali kumfanyia ivo be4 marriage?
mahari ni zawadi ya kumtunza binti, sasa binti hajatunzwa unatoa mahari ya nini.
 
Inaonesha pia hata maana ya mahari hujui,

Endelea kuitafuta bikra ili ukatoe ml.10.
madam sijasema natafuta bikra nimesema silipi kwa asiye bikra ajijie tu tuishi kwenye riadha mshindi ndio anapewa taji. huwezi mpa taji mtu asiye shinda silipii kwa asiye bikra yupo tayari kuchangia nusu ila haitoshi nataka atoe yote mie nitahusika kwenye harusi.
 
Daah..hata huyo unaemuoa atapata shida..ajue kwamba hana mume..si kwa dharau hizo..kumuita mwenzio screpa
 
Wakuu pokeeni salamu zangu,
Mahari kama inavyochukuliwa na jamii nishukrani kwa wazee kwa ajili ya kumtunza binti, kwa hali ya sasa ilivyo ni vigumu kupata binti aliyejitunza mpaka siku ya ndoa hivyo kuondoa dhana nzima ya kutoa mahari,

Mimi kwa binafsi yangu nimeapa sitoi mahari kwa binti ambaye sio bikra labda anipe mwenyewe nikatoe kwao ila mfukoni kwangu never hata mchumba wangu wa sasa anajua sina mpango wa kumtolea mahari kila akinigusia namwambia sijajiandaa

Nilipeleleza kwao ni kama 2million wanahitaji na alikua tayari kuchanga 1million ila namsubirisha namwambia nina mipango mingine ya kujiendeleza kielimu na kujenga nataka mpaka atoe yote mwenyewe yaani nichukue scrapper for 2m ya nini yote hiyo.

je, mdau unaona ni halali kulipishwa mamilioni kwa ajili ya mwanamke asiye bikra?
Hamna haja ya kutoa mahali bro maana hta kama co bkira ipo cku atarud kwenye poli lake 2 so akikutolea mwenywe hapo shwarii
 
Kwa kweli siafiki kabisa mahari kwa mtu asiye bikra, unalipa vipi kitu ambacho hakina ubora wake.

Dhana ya mahari kwa zama za kale ilikuwa na maana kubwa sana na haviendani na kile kinachofanywa kwa sasa.
 
labda mim mshamba au sjui ni hulka ila mpaka umri huu sjajua umuhimu wa bikra when it comes to sex naona kama nakua mwalimu wa darasa la kwanza naanza kufundisha a e i o u...
 
Najua thamani ya bikira, lakini kwa nini inaonekana kudaiwa sana kwa Mwanamke peke yake? Ndio maana linaitwa tendo la ndoa, nje ya hapo ni kosa sio kwa Mwanamke wala mwanaume.

Nikirudi kwenye hoja yako, hauna haja hata ya kuoa huyo mchumba wako, utamnyanyasa sana.
Ungekua ni mtu wa msimamo kiasi hicho, ungekua bikira na ungetafuta bikira.
 
Back
Top Bottom