Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha nkajua nyingneile maarufu ya mbele.
Inaelekea ana mgogoro na mkewe huwezi kumuita mkdo scrapperKama ni screpa unamuoa wa nn???
mahari ni zawadi ya kumtunza binti, sasa binti hajatunzwa unatoa mahari ya nini.jiulize pia ni halali kututoa bikra kabla hamjatuoa,pia no halali kutulala siye tulikwisha tolewa bikra.coz ninachokiona hapo unathaminisha.....bas kama unayemvulia nguo akaona uume wako je ni halali kumfanyia ivo be4 marriage?
pia sidhan kama waoaji ni wengi ushawahi hudhuria mkutano wa mwakasege uone nyomi ya wanaotaka kuolewa hiyo inanipa kiburi zaidi.Huyo dem wako nae tu naanzaje kutoa pesa yangu nikulipie ww mahari?kama huwez kutoa pisha babu waoaji na wanaojielewa wapo wengi tu
madam sijasema natafuta bikra nimesema silipi kwa asiye bikra ajijie tu tuishi kwenye riadha mshindi ndio anapewa taji. huwezi mpa taji mtu asiye shinda silipii kwa asiye bikra yupo tayari kuchangia nusu ila haitoshi nataka atoe yote mie nitahusika kwenye harusi.Inaonesha pia hata maana ya mahari hujui,
Endelea kuitafuta bikra ili ukatoe ml.10.
Hamna haja ya kutoa mahali bro maana hta kama co bkira ipo cku atarud kwenye poli lake 2 so akikutolea mwenywe hapo shwariiWakuu pokeeni salamu zangu,
Mahari kama inavyochukuliwa na jamii nishukrani kwa wazee kwa ajili ya kumtunza binti, kwa hali ya sasa ilivyo ni vigumu kupata binti aliyejitunza mpaka siku ya ndoa hivyo kuondoa dhana nzima ya kutoa mahari,
Mimi kwa binafsi yangu nimeapa sitoi mahari kwa binti ambaye sio bikra labda anipe mwenyewe nikatoe kwao ila mfukoni kwangu never hata mchumba wangu wa sasa anajua sina mpango wa kumtolea mahari kila akinigusia namwambia sijajiandaa
Nilipeleleza kwao ni kama 2million wanahitaji na alikua tayari kuchanga 1million ila namsubirisha namwambia nina mipango mingine ya kujiendeleza kielimu na kujenga nataka mpaka atoe yote mwenyewe yaani nichukue scrapper for 2m ya nini yote hiyo.
je, mdau unaona ni halali kulipishwa mamilioni kwa ajili ya mwanamke asiye bikra?
hapana mkuu nimeshangaa kichagamy guess you mean "yesuuu"