Maongezi ya kutafutia ucngz haya. Emb nikuulize, maana umenizindua, litaka kucnzia.
Ukishabikiri nini kinafuatia? Acha hiyo mahari 2ml. Watu wanajenga mahekalu kuhonga ama kwa lugha nyingine 'kuboresha penzi' huwa wanawajengea mabikira kuwatolea shukrani, ama ninini kinawasukuma kuangukia?
Af wewe wa wapi?
Pwani penyewe kwenye msemo wa 'harusi imesema' huwa unachezwa mchezo pale hata mtu ashazaa, harusi husema! Hata huyo mchumbaako akitaka hata kesho unambikiri.
Hivi wewe mbumbumbu wa mapenzi, ukioa bikra ndiyo hatakusaliti akawa wa kwako daima dumu? Ama ukitoboa unapata raha gani labda?