Ni halali kulipa mahari kwa mwanamke ambaye sio bikra?

Ni halali kulipa mahari kwa mwanamke ambaye sio bikra?

Virginity means purity mama kubwa. Ndio maana tunasema nyie kizazi cha nyoka hamuelewi coz you ain't virgin na hamuoni maana yake, vijana waliwahadaa mkiwa wadogo hamuwezi kuelewa.
Je kabla ya kumpata uliwahi kukutana nayo? je ulimuoa? mie nilijitunza hd miaka 28 na sikuolewa inawezekana aliniacha mie akaenda kwa screpa.
 
jiulize pia ni halali kututoa bikra kabla hamjatuoa,pia no halali kutulala siye tulikwisha tolewa bikra.coz ninachokiona hapo unathaminisha.....bas kama unayemvulia nguo akaona uume wako je ni halali kumfanyia ivo be4 marriage?
Na ww kwanini ukubali kumpa kabla hajakuoa
 
Je kabla ya kumpata uliwahi kukutana nayo? je ulimuoa? mie nilijitunza hd miaka 28 na sikuolewa inawezekana aliniacha mie akaenda kwa screpa.
Umeniuliza maswali too personal. Lakini Mungu aliyeweka hymen kwa mwanamke alikuwa na maana kubwa, nyie ndio mmeamua kumfundisha kazi.
 
Umeniuliza maswali too personal. Lakini Mungu aliyeweka hymen kwa mwanamke alikuwa na maana kubwa, nyie ndio mmeamua kumfundisha kazi.
Umeona ilivyo ngumu ht sie tunapotolewa tunaamini tutaolewa watoaji ni nyie na mnaotaka mzikute ni nyie yote mawili hayawazekani Bye.
 
Wewe hujaelewa mada. Ishu hapa ni kulipia mahari
Usikariri mkuu...
mada inahusisha "mahari" na "Bikra"
unavyojipo "QUOTE" za watu fungua akili na ufikiriee kwanza

Kwanini mnakua wakumu na kuegemea upande mmoja?
Bikra tuwatoe sisi bado tuwadhalilishe kwenye swala la kuwaoa?
 
Kwani wapi kaidai? Kaoneshwa tu kutokuridhika kulipia mahari kitu used. Kama yeye hailipiwi mahari kwa nini mwanamke alipiwe!!

Tulia usome na kuelewa vizuri alichoandika mleta mada.
 
Kama ni screpa unamuoa wa nn???

Maongezi ya kutafutia ucngz haya. Emb nikuulize, maana umenizindua, litaka kucnzia.
Ukishabikiri nini kinafuatia? Acha hiyo mahari 2ml. Watu wanajenga mahekalu kuhonga ama kwa lugha nyingine 'kuboresha penzi' huwa wanawajengea mabikira kuwatolea shukrani, ama ninini kinawasukuma kuangukia?
Af wewe wa wapi?
Pwani penyewe kwenye msemo wa 'harusi imesema' huwa unachezwa mchezo pale hata mtu ashazaa, harusi husema! Hata huyo mchumbaako akitaka hata kesho unambikiri.
Hivi wewe mbumbumbu wa mapenzi, ukioa bikra ndiyo hatakusaliti akawa wa kwako daima dumu? Ama ukitoboa unapata raha gani labda?
 
Mwamke "hujamuoa" utajuaje kama ana bikra au la? Na kama umembikiri mwenyewe kabla ya kumuoa utakapokuwa unamlipia mahari "atakuwa bado bikra"?
namaanisha state aliyokuwa nayo tunapoanza mahusiano ndio namwita bikra.
 
Wanaume wa design hii wanasumbuliwa na inferiority complex kwa madai aliemtoa bikira ndo atakuwa anakumbukwa daima kuliko yeye
nadhani hata Mungu aliweka hiyo kitu ili mimi nisumbuliwe na I.complex am just playing my part.
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. (Scriptures)
Nina mashaka na kiwango cha elimu au uelewa wa mleta mada.
Kwanini binadamu tupo so selfish? Binti ajitunze wewe ujichapie, Hao uliotoa waolewe na nan??

Mwanamke bikira sitaki. Akitokea "God knwos" Ila ntaoa hawa hawa tulionao huku uswazi.
mimi ni injinia usiwe na shaka na elimu yangu, nazumngumzia dhana zima ya kutoa mahari kama zawadi ya kumtunza binti haipo tujichukulie tu.
 
Ila mimi kwa maoni yangu ni kwamba Tanzania tunavaa mitumba, tunaendesha magari mitumba, tunafunga mashine mitumba viwandani kwetu na vyote hivi hatuvipati bure tunalipia. Hivyo basi mkuu kalipie tu kwakuwa uko Tanzania ukienda nchi zinazotumia vipya tuu ibua hii hoja yako ni nzuri sana mkuu ila si kwa Tanzania yetu.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
me nadhani mtu akikutoa bikra huyo ndio wa kumsumbua akuoe kweli,wananwake wengi wanataka kuolewa na bwanake wa 15,hao 14 amewaacha kwa nn?anakuona boya?kama co bikra ajilipie mahari mwenyewe,mahari kiislam anapewa mwanamke mwenyewe na kama sio mjane anatakiwa awe bikra,mnatandika shuka jeupe mkitokaa kina shangazi wanaingia wanakuta damu,sio wanakuta duara kubwaaa la maji ya utelezi ya maku pamoja na kusquirt!no bikra na sio mjane jilipie mahari usichezee akili za watu!
 
Kuna raha yake aisee kuoa Bikra,.....hamu ya kuchepuka inakata.....una mheshimu na kumthamini mkeo kuliko yeyote.....Mwanaume ukipata mke bikra unakuwa na huruma sana kwake.....hata akikufanyia kosa utamsamehe kirahisi tu maana ukikumbuka alivyojitunza kwaajili yako, unapata kaufahari flani.

Lakini kuoa Used material yakupasa uwe na moyo!....Ukivuta picha kuwa alikuwa mtu wa 'blow job', alafu wewe ukalipe mamilioni kama mahari dah! noma sana.....Inabidi ucalculate depression cost.
mkuu unawapa hasira wadau waliooa used kwa gharama.
 
Back
Top Bottom