ryan riz
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 423
- 683
Leo nimepata hasira sana,hiv wa mabwanyenye huko juu kwenye uongozi huwa yanatumia akili au ma..alio kufikiri?
Hela ilivyongumu hivi nakatwa mchango wa NHIF alafu nimepanga foleni toka asubuhi mpaka saa 10 jion,majibu yanatoka na andikiwa dawa ila zingine kwenye stoo yao wanasema hamna .
Alafu naambiwa nikanunue nje hii maana yake nini?
Hivi mimi nitajuaje km ugonjwa naumwa ni upi na hosptl dawa zake zipo au hamna..?
Hivi huko ni kukomesha wizi wa madawa au kutukomesha wagonjwa?
Wandugu naombeni utaratibu wa mimi kupata dawa ambazo zimekosekana kituo nilichotibiwa ila ziko kwenye BIMA..
Hela ilivyongumu hivi nakatwa mchango wa NHIF alafu nimepanga foleni toka asubuhi mpaka saa 10 jion,majibu yanatoka na andikiwa dawa ila zingine kwenye stoo yao wanasema hamna .
Alafu naambiwa nikanunue nje hii maana yake nini?
Hivi mimi nitajuaje km ugonjwa naumwa ni upi na hosptl dawa zake zipo au hamna..?
Hivi huko ni kukomesha wizi wa madawa au kutukomesha wagonjwa?
Wandugu naombeni utaratibu wa mimi kupata dawa ambazo zimekosekana kituo nilichotibiwa ila ziko kwenye BIMA..