Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
Sheria ya usalama barabarani,inampa nguvu askari kuchukua "valid driving licence" pindi akisimamisha gari.
Hiyo ndiyo kitu ya kwanza anadai kabla ya yote
Kuichukua kwa maana gani labda?Hakuna Sheria yyt inayomruhusu POLISI KUCHUKUA LICENSE YA RAIA BILA RUKSA YA MAHAKAMA.
Wakifanyacho hawa askari ni kinyume Cha Sheria ya mamlaka ya Licence Tanzania.
Wananchi LZM watambue kuwa ASKARI SIO MAHAKAMA. na kama kuna Dispute baina ya Askari na Raia basi Ni MAHKAMA PEKEE NDIO YENYE KUTOA MAAMUZI YA MWISHO.
Siku Askari akichukua Leseni yako bila Hukumu ya MAHKAMA Chukua namba yake Ilete humu JF Tumfahamishe Waziri wa mambo ya Ndani na Wizara yake ili Wawatambue hao WAVUNJA SHERIA YA NCHI.
NA KM Hatua kama hizi hazichukuliwi hawa Askari watazidi KUONEA WANANCHI.
Kuichukua kwa maana gani labda?
Polisi anayo mamlaka kisheria kuomba leseni yako na kuikagua at anytime broda unapokuwa una drive
Ila kuichukua kama dhamana haikubaliki
Tofautisha KUICHUKUA na KUIKAGUA!
Au kiswahili kwako kigeni?
Manake wahutu pia wamo humu.
Askari HARUHUSIWI KISHERIA KUCHUKUA LESENI YAKO NA KUBAKI NAYO.
Anacho ruhusiwa ni KUKAGUA na Akimaliza HATA KM UNA MAKOSA basi NI LAZIMA AKUTUDISHIE LESENI YAKO.
Akikataa chukua namba yake halafu KAMRIPOTI TAKUKURU kuwa Amechukua leseni yako ILI UKATOE RUSHWA.
Manake HIO NDIO SABABU PEKEE Ya Askari KUCHUKUA LESENI YAKO.
NA Hakuna jingine.
Manake anajua Utaifuata tu. Na ukienda lzm akuombe RUSHWA.
Maelezo yako yana utata kidogo,sio elfu 30 kwa kila kosa huu ni udhaifu wa watanzania kutokujua sheria ya barabarani ambao hutumiwa na trafiki haijalishi una makosa mangapi faini ni elfu 30 tu.Lakini hapa inabidi tukubaliane jambo moja if at first wewe ndio avunja sheria makusudi kabisaaa basi inabidi uendane na matakwa yake ili wewe upate unafuu.......huu ndio ukweli kwa kila dereva anajua hilo
Mfano umetanua makusudi akakushika hapo ni ama umpe sh elf5 hadi elf10 na kama huna basi atakwambia nachukua leseni ukipata pesa njoo ntakupa leseni
You have a choice komaa akupe leseni akuandikie notification ya elf30 kwa kila kosa atakalolikuta au kumuachia leseni......mind that umetanua mwenye kwa makusudi ukijua ni kosa
Tatizo hapa sio Trafiki tu, tatizo hata sisi madereva
Unafanya makosa makusudi halafu unajifanya kuhoji uhalali, kama hutaki shida ukidakwa kubali immediately unaandikiwa notification kama anakkitabu unalipa cash anakupa lisiti unasepa ukitanua tena unalipa elf30
Na sikuhizi wajuaji wengi kila trafiki ana notification mfukoni hakuna longo longo
Tofautisha KUICHUKUA na KUIKAGUA!
Au kiswahili kwako kigeni?
Manake wahutu pia wamo humu.
Askari HARUHUSIWI KISHERIA KUCHUKUA LESENI YAKO NA KUBAKI NAYO.
Anacho ruhusiwa ni KUKAGUA na Akimaliza HATA KM UNA MAKOSA basi NI LAZIMA AKUTUDISHIE LESENI YAKO.
Akikataa chukua namba yake halafu KAMRIPOTI TAKUKURU kuwa Amechukua leseni yako ILI UKATOE RUSHWA.
Manake HIO NDIO SABABU PEKEE Ya Askari KUCHUKUA LESENI YAKO.
NA Hakuna jingine.
Manake anajua Utaifuata tu. Na ukienda lzm akuombe RUSHWA.
Kama polisi wamekagua gari na kukuta kuna kosa na akaandika notification kisha dereva akashindwa kulipa hela iliyoandikwa kwenye notification. Je ni halali kwa polisi kuchukua leseni ya dereva na kubaki nayo hadi atakapolipa fine aliyotozwa? Jambo kama hilo la kuchukua leseni ya dereva likitokea huyo polisi anapaswa kumpa nini dereva kama anayo safari ya kwenda mbali? Naombeni msaada wa kisheria
Mbona kama tunapeana mbinu za kupambana na dola tukiwa tumevunja sheria!!!! Maana hayo yote humpata aliyevunja sheria,la ni bahati mbaya.
Tusivunje sheria za barabarani na haya yote hayatatukuta.
Mbona kama tunapeana mbinu za kupambana na dola tukiwa tumevunja sheria!!!! Maana hayo yote humpata aliyevunja sheria,la ni bahati mbaya.
Tusivunje sheria za barabarani na haya yote hayatatukuta.
Hakuna Sheria yyt inayomruhusu POLISI KUCHUKUA LICENSE YA RAIA BILA RUKSA YA MAHAKAMA.
Wakifanyacho hawa askari ni kinyume Cha Sheria ya mamlaka ya Licence Tanzania.
Wananchi LZM watambue kuwa ASKARI SIO MAHAKAMA. na kama kuna Dispute baina ya Askari na Raia basi Ni MAHKAMA PEKEE NDIO YENYE KUTOA MAAMUZI YA MWISHO.
Siku Askari akichukua Leseni yako bila Hukumu ya MAHKAMA Chukua namba yake Ilete humu JF Tumfahamishe Waziri wa mambo ya Ndani na Wizara yake ili Wawatambue hao WAVUNJA SHERIA YA NCHI.
NA KM Hatua kama hizi hazichukuliwi hawa Askari watazidi KUONEA WANANCHI.