Danisamweswa
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 453
- 154
Kama polisi wamekagua gari na kukuta kuna kosa na akaandika notification kisha dereva akashindwa kulipa hela iliyoandikwa kwenye notification. Je ni halali kwa polisi kuchukua leseni ya dereva na kubaki nayo hadi atakapolipa fine aliyotozwa? Jambo kama hilo la kuchukua leseni ya dereva likitokea huyo polisi anapaswa kumpa nini dereva kama anayo safari ya kwenda mbali? Naombeni msaada wa kisheria