Ni hali gani ulikutana nayo ukakubali kwamba kuna watu wana roho mbaya extra?

Ni hali gani ulikutana nayo ukakubali kwamba kuna watu wana roho mbaya extra?

Hakuna mtakatifu duniani,mtu yeyote anaweza kufanya jambo la kuishangaza dunia na watu wakabaki midomo wazi.
 
Watu roho mbaya wanazo sema kwa sura huwezi kuwafahamu

Na hapa ndipo msemo wa "UMZANIE NDIYE KUMBE SIYE" unapofanya kazii
 
Kiasili watu weusi tuna roho mbaya na makatili.

Ithibati ya hili ni kufanya matatizo ya mwenzio kuwa fursa ya kupata maslahi.
 
Nimeona video moja leo humu kwenye uzi wa picha cha vituko, watu wamemkata mtu kichwa, wamemchana tumboni mpaka kifuani kama afanywavyo mbuzi, ogarns zote za ndani zinaonekana na wanaonekana wako busy wakiendelea na zoezi wakiwa hawajali kabisa. Mpaka sasa najiuliza huyo mhanga sijui ilafanya kosa gani hadi afanyiwe hivyo...
 
Back
Top Bottom