Ni hali ya kawaida mwanaume kupenda kumuona mkewe akilia lia kila mara

Ni hali ya kawaida mwanaume kupenda kumuona mkewe akilia lia kila mara

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Waswahili wanasema mficha maradhi kifo humuumbua.Kuna kipindi hapo nyuma nilimpiga mke wangu vimatukio tukio akawa mtu wa kulia na kutoa machozi kila Mara

Mbaya zaidi ameanza kuneneepa kufikia hatua ya ndani ya miezi miwili mitatu naye aanze kuitwa bonge

Niwe muwazi wife wangu si mtu wa kukunja kunja sana uso au kunununa nuna kama walivyo wanawake wengine kwahiyo baada Mimi kupunguza vile vimatukio vya kumkwaza na kumcheat furaha yake imerudi kama ilivyo kuwa mwanzo.

Amekuwa ni mtu wa kucheka hata kwa vitu visivyochekesha,kunipiga makiss ovyo na kunupamba pamba kila Mara.

Sasa sijui ndio nimepata na hali gani,eti najikuta simfurahii kabisa wife wangu kama nilivyokuwa nikimfeel kipindi kile alipokuwa mtu wa machozi mseleleko & kukondeana kwa mawazo.

Na ninahisi hali hii ikiendelea naweza kufikia hatua hata ya kumrudisha kijijini kwao aende tu akakate mkaa maana hamna jinsi.

Sasa kwa warume wenzangu mlioko kwenye ndoa muda mrefu je hii hali na nyie ilishawahi kuwatokea au ni maradhi yangu peke yangu.

Kingine je hapa uchawi haujahusika kunifanya niwe katika hii hali
 
Screenshot_20230411_124458_Chrome.jpg
 
Waswahili wanasema mficha maradhi kifo humuumbua.Kuna kipindi hapo nyuma nilimpiga mke wangu vimatukio tukio akawa mtu wa kulia na kutoa machozi kila Mara

Mbaya zaidi ameanza kuneneepa kufikia hatua ya ndani ya miezi miwili mitatu naye aanze kuitwa bonge


Niwe muwazi wife wangu si mtu wa kukunja kunja sana uso au kunununa nuna kama walivyo wanawake wengine kwahiyo baada Mimi kupunguza vile vimatukio vya kumkwaza na kumcheat furaha yake imerudi kama ilivyo kuwa mwanzo.

Amekuwa ni mtu wa kucheka hata kwa vitu visivyochekesha,kunipiga makiss ovyo na kunupamba pamba kila Mara

Sasa sijui ndio nimepata na hali gani,eti najikuta simfurahii kabisa wife wangu kama nilivyokuwa nikimfeel kipindi kile alipokuwa mtu wa machozi mseleleko & kukondeana kwa mawazo

Na ninahisi hali hii ikiendelea naweza kufikia hatua hata ya kumrudisha kijijini kwao aende tu akakate mkaa maana hamna jinsi

Sasa kwa warume wenzangu mlioko kwenye ndoa muda mrefu je hii hali na nyie ilishawahi kuwatokea au ni maradhi yangu peke yangu

Kingine je hapa uchawi haujahusika kunifanya niwe katika hii hali
Hallow jamaa yangu,hebu acha hizo fikra.Uliishi kwa mazoea mabaya hadi yakajiunga na kuwa tabia hatarishi.Kuishi na mkeo kwa hisia/muono huo ni hatari.Jipe muda wa kutafakari na uikatae wewe mwenyewe hiyo tabia.Jitahidi.
 
Waswahili wanasema mficha maradhi kifo humuumbua.Kuna kipindi hapo nyuma nilimpiga mke wangu vimatukio tukio akawa mtu wa kulia na kutoa machozi kila Mara

Mbaya zaidi ameanza kuneneepa kufikia hatua ya ndani ya miezi miwili mitatu naye aanze kuitwa bonge


Niwe muwazi wife wangu si mtu wa kukunja kunja sana uso au kunununa nuna kama walivyo wanawake wengine kwahiyo baada Mimi kupunguza vile vimatukio vya kumkwaza na kumcheat furaha yake imerudi kama ilivyo kuwa mwanzo.

Amekuwa ni mtu wa kucheka hata kwa vitu visivyochekesha,kunipiga makiss ovyo na kunupamba pamba kila Mara

Sasa sijui ndio nimepata na hali gani,eti najikuta simfurahii kabisa wife wangu kama nilivyokuwa nikimfeel kipindi kile alipokuwa mtu wa machozi mseleleko & kukondeana kwa mawazo

Na ninahisi hali hii ikiendelea naweza kufikia hatua hata ya kumrudisha kijijini kwao aende tu akakate mkaa maana hamna jinsi

Sasa kwa warume wenzangu mlioko kwenye ndoa muda mrefu je hii hali na nyie ilishawahi kuwatokea au ni maradhi yangu peke yangu

Kingine je hapa uchawi haujahusika kunifanya niwe katika hii hali
.... inawezekana kapata kidume chenye akili kinamrusha maji nje na kinamuambia ili tufurahie mambo yetu lazima uoneshe heshima na mapenzi ya hali ya juu kwa mmeo ili asijepata hata chembe ya wasiwasi kuwa dumu lake la asali alilolinin'giniza kuhepuka kulambwa na wezi limetoboka kwa chini na kuna mwamba katega ulimi anajilambia tu inayodondoka. Wanawake wanaisikiliza sana michepuko yao tofauti na wanaume ambao husikiliza sana akili zao.
 
Waswahili wanasema mficha maradhi kifo humuumbua.Kuna kipindi hapo nyuma nilimpiga mke wangu vimatukio tukio akawa mtu wa kulia na kutoa machozi kila Mara

Mbaya zaidi ameanza kuneneepa kufikia hatua ya ndani ya miezi miwili mitatu naye aanze kuitwa bonge


Niwe muwazi wife wangu si mtu wa kukunja kunja sana uso au kunununa nuna kama walivyo wanawake wengine kwahiyo baada Mimi kupunguza vile vimatukio vya kumkwaza na kumcheat furaha yake imerudi kama ilivyo kuwa mwanzo.

Amekuwa ni mtu wa kucheka hata kwa vitu visivyochekesha,kunipiga makiss ovyo na kunupamba pamba kila Mara

Sasa sijui ndio nimepata na hali gani,eti najikuta simfurahii kabisa wife wangu kama nilivyokuwa nikimfeel kipindi kile alipokuwa mtu wa machozi mseleleko & kukondeana kwa mawazo

Na ninahisi hali hii ikiendelea naweza kufikia hatua hata ya kumrudisha kijijini kwao aende tu akakate mkaa maana hamna jinsi

Sasa kwa warume wenzangu mlioko kwenye ndoa muda mrefu je hii hali na nyie ilishawahi kuwatokea au ni maradhi yangu peke yangu

Kingine je hapa uchawi haujahusika kunifanya niwe katika hii hali

Ukiona hivyo, ujue naye anakupiga matukio, ngoma dro...
 
Back
Top Bottom