Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Nazungumzia hizi busy roads za mijini na sub urban.
kuna watoto wa.mjini wanajikuta wao na simu ni Alpha Na Omega. Hawatenganishwi na Tecno zao.
Nawaasa sana unapokuwa katika movement barabarani, kama una sms ama simu muhimu sana ya kujibu, simama pembeni kwenye usalama malizana na mtu kwenye simu.
Kisha tunza simu yako endelea na safari.
Utajiepushia ajali zisizo na uelekeo na kupokolewa simu na vibaka
Ndugu zangu zipo kesi nyingi sana za vijana kugongwa na magari, baisikeli, bodaboda, bajaj n.k sababu ya simu.
Please share...
kuna watoto wa.mjini wanajikuta wao na simu ni Alpha Na Omega. Hawatenganishwi na Tecno zao.
Nawaasa sana unapokuwa katika movement barabarani, kama una sms ama simu muhimu sana ya kujibu, simama pembeni kwenye usalama malizana na mtu kwenye simu.
Kisha tunza simu yako endelea na safari.
Utajiepushia ajali zisizo na uelekeo na kupokolewa simu na vibaka
Ndugu zangu zipo kesi nyingi sana za vijana kugongwa na magari, baisikeli, bodaboda, bajaj n.k sababu ya simu.
Please share...