Ni hatari sana kuwa na jirani wa hivi,maskini wa fikra, a dunderhead asiye na malengo

Ni hatari sana kuwa na jirani wa hivi,maskini wa fikra, a dunderhead asiye na malengo

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Unatarajia nini ukiwa na jirani maskini mvivu na asiye na malengo? Ndiyo maana wenye hela hupenda kuishi jirani na matajiri wenzao, sasa umeenda uswahilini huko pembeni yako kuna kigagula kimaskini utasikia EHEEE MALI HIZO WATAKUFA WATAZIACHA...EHEEEE WAKIITWA WENYE MAGARI NA WEWE UTAENDA....EHEEE UTAJIRI WA KAFARA NA FREEMASON HUO

Ni hatari sana, kama mfa maji tu ajali ya meli imetokea uko busy kuogelea ujiokoe yeye anakuvuta mguu mfe wote.

**Kesho tunafuzu anzeni kuandaa makala za mbinu chafu za simba mtume Libya haraka sana maskini wa roho na akili..HATA KUNDI LA RAYON NA GOR MAHIA LILIWASHINDA, hivi nyie ni watu wa aina gani, mkienda fasta mnapigwa nje ndani wenzenu wanagangamala hamtaki, mnataka wote tukose, pathetic fools

roho mbaya.PNG
 
Hilo kundi D simba angeongoza huyo rayon angekufa nje ndani, gormahia angekufa ndani akaambulia sare kwake na huyo usm alger angekula kipigo taifa kwake akaenda kujikaza kupata ushindi.

Simba angeondoka na jumla ya point si chini ya 11.
 
Mechi 14 wameambulia point 10, ila naimani kwa hasira walizo nazo juu ya mafanikio yetu, hivi karibuni yanga wataanza kufanya vizuri saana kimataifa, sasa wana timu nzuri wasipoivuruguwa mwakani tunaweza pata timu mbili za kusumbua, kama simba itarudi vizuri maana tumekuwa na msimu mmoja tunafanya poa, unaofata tunaboronga.

Yanga wamekuwa kama mkasi, bila........ Haufanyi kazi, bila ya sisi wasingeshituka[emoji23][emoji1787]
 
Hilo kundi d simba angeongoza huyo rayon angekufa nje ndani, gormahia angekufa ndani akaambulia sare kwake na huyo usm alger angekula kipigo taifa kwake akaenda kujikaza kupata ushindi.

Simba angeondoka na jumla ya point si chini ya 11.
Ndiyo maanaa hawaamini utasikia agh hapa ndo mwisho, yaani wanatamani tungekuwa wote tunafanya madudu kimataifa tubaki kubishana na kina mbeya kwanza
 
Mechi 14 wameambulia point 10, ila naimani kwa hasira walizo nazo juu ya mafanikio yetu, hivi karibuni yanga wataanza kufanya vizuri saana kimataifa, sasa wana timu nzuri wasipoivuruguwa mwakani tunaweza pata timu mbili za kusumbua, kama simba itarudi vizuri maana tumekuwa na msimu mmoja tunafanya poa, unaofata tunaboronga.

Yanga wamekuwa kama mkasi, bila........ Haufanyi kazi, bila ya sisi wasingeshituka[emoji23][emoji1787]
Gor mahia waliwatandika kisawasawa haya maboya, sasa kundi kama hilo unafeli kweli jamani tena unaishia na points 4?goal difference ni MINUS za kutosha
 
Mechi 14 wameambulia point 10, ila naimani kwa hasira walizo nazo juu ya mafanikio yetu, hivi karibuni yanga wataanza kufanya vizuri saana kimataifa, sasa wana timu nzuri wasipoivuruguwa mwakani tunaweza pata timu mbili za kusumbua, kama simba itarudi vizuri maana tumekuwa na msimu mmoja tunafanya poa, unaofata tunaboronga.

Yanga wamekuwa kama mkasi, bila........ Haufanyi kazi, bila ya sisi wasingeshituka[emoji23][emoji1787]
Siyo mechi 14 ni 18...
 
Mechi 14 wameambulia point 10, ila naimani kwa hasira walizo nazo juu ya mafanikio yetu, hivi karibuni yanga wataanza kufanya vizuri saana kimataifa, sasa wana timu nzuri wasipoivuruguwa mwakani tunaweza pata timu mbili za kusumbua, kama simba itarudi vizuri maana tumekuwa na msimu mmoja tunafanya poa, unaofata tunaboronga.

Yanga wamekuwa kama mkasi, bila........ Haufanyi kazi, bila ya sisi wasingeshituka[emoji23][emoji1787]
Kwahivyo miaka 87 hawajawahi kuwa na timu nzuri kuliko yoyote au kuliko Simba SC ila mwaka huu tu, ambayo itasumbua?

Muda ni rafiki ngoja tusubiri kuona..!
 
Laana ya kuwapokea wageni na kuwapa mbinu za kuifunga simba mwisho wa siku wanaambulia kuchomwa na kitu chenye ncha kali wao pmja na wageni wao itawatafuna milele, kwenye champions league yanga hataenda popote believe me, kwenye kundi lao atakua jamvi la wageni manjano atakua anaitisha press conference ya malalamiko na mipasho daily simba kufika hpo walipo cyo jambo la yanga kuiga mara1 na kupest kama walivyoiga simba day ni mipango na mikakati pmja na malengo thabiti, yanga wao malengo yao ni kuifunga simba na kuwapa bahasha za kaki wachambuzi mbuzi
 
Kwahivyo miaka 87 hawajawahi kuwa na timu nzuri kuliko yoyote au kuliko Simba SC ila mwaka huu tu, ambayo itasumbua?

Muda ni rafiki ngoja tusubiri kuona..!
Mambumbu mnachagua takwimu mbaya za Yanga ili kujifurahisha,zile takwimu nzuri hamleti. Na mnavyojitamba utafikiri miaka yote mlioshiriki Michuano ya Africa mlifika hiyo robo fainali au kuizidi Yanga kimafanikio.
FB_IMG_16493691289181891.jpg
 
Mambumbu mnachagua takwimu mbaya za Yanga ili kujifurahisha,zile takwimu nzuri hamleti. Na mnavyojitamba utafikiri miaka yote mlioshiriki Michuano ya Africa mlifika hiyo robo fainali au kuizidi Yanga kimafanikio.View attachment 2197509
Hiyo robo fainali iliyochezwaga mechi sita iko hapaaaaa angalia hilo group B halafu uje na majibu..kuishi jirani n
a maskini ni kitu kibaya sana...mbaya zaidi awe maskini mjinga asiye na malengo yeye ni majungu tu kutaka mkose wote

BAADA YA KUWAVURUMUSHA WAHABESHI NA KUTINGA ROBO FAINALI ILIYOCHEZWAGA MECHI SITA SI NDO MKAWA GROUP B SIYO AU SIYO?

roho mbaya.PNG
 
mnachagua takwimu mbaya za Yanga ili kujifurahisha,zile takwimu nzuri hamleti. Na mnavyojitamba utafikiri miaka yote mlioshiriki Michuano ya Africa mlifika hiyo robo fainali au kuizidi Yanga kimafanikio.View attachment 2197509

Daah..Ni dhahiri umeshikwa na Wenge, yaani unazungumzia robo fainali..!? Simba SC amefika hatua ya Nusu Fainali Klabu Bingwa Afrika 1974

Na kilichotokea 1993 Kombe Uwanjani kinafahamika, haina haja kukuelezea pale Uwanja wa Taifa (Uhuru Stadium)..!

Hatutachoka kuwafahamisha nyie gongowazi..!
 
Hiyo robo fainali iliyochezwaga mechi sita iko hapaaaaa angalia hilo group B halafu uje na majibu..kuishi jirani n
a maskini ni kitu kibaya sana...mbaya zaidi awe maskini mjinga asiye na malengo yeye ni majungu tu kutaka mkose wote

BAADA YA KUWAVURUMUSHA WAHABESHI NA KUTINGA ROBO FAINALI ILIYOCHEZWAGA MECHI SITA SI NDO MKAWA GROUP B SIYO AU SIYO?

View attachment 2197539
Hii robo fainali ya makundi..Hata sayari ya Jupiter hakuna..!
 
Ndiyo maanaa hawaamini utasikia agh hapa ndo mwisho, yaani wanatamani tungekuwa wote tunafanya madudu kimataifa tubaki kubishana na kina mbeya kwanza
kutamba mwisho Leo,mnapigwa kesho nyie,tokeni tu,maana hamna mnacho pambania,ila Domo ndio jiiingi
 
Back
Top Bottom