njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Unatarajia nini ukiwa na jirani maskini mvivu na asiye na malengo? Ndiyo maana wenye hela hupenda kuishi jirani na matajiri wenzao, sasa umeenda uswahilini huko pembeni yako kuna kigagula kimaskini utasikia EHEEE MALI HIZO WATAKUFA WATAZIACHA...EHEEEE WAKIITWA WENYE MAGARI NA WEWE UTAENDA....EHEEE UTAJIRI WA KAFARA NA FREEMASON HUO
Ni hatari sana, kama mfa maji tu ajali ya meli imetokea uko busy kuogelea ujiokoe yeye anakuvuta mguu mfe wote.
**Kesho tunafuzu anzeni kuandaa makala za mbinu chafu za simba mtume Libya haraka sana maskini wa roho na akili..HATA KUNDI LA RAYON NA GOR MAHIA LILIWASHINDA, hivi nyie ni watu wa aina gani, mkienda fasta mnapigwa nje ndani wenzenu wanagangamala hamtaki, mnataka wote tukose, pathetic fools
Ni hatari sana, kama mfa maji tu ajali ya meli imetokea uko busy kuogelea ujiokoe yeye anakuvuta mguu mfe wote.
**Kesho tunafuzu anzeni kuandaa makala za mbinu chafu za simba mtume Libya haraka sana maskini wa roho na akili..HATA KUNDI LA RAYON NA GOR MAHIA LILIWASHINDA, hivi nyie ni watu wa aina gani, mkienda fasta mnapigwa nje ndani wenzenu wanagangamala hamtaki, mnataka wote tukose, pathetic fools