Ni hatari sana kuwa na jirani wa hivi,maskini wa fikra, a dunderhead asiye na malengo

Ni hatari sana kuwa na jirani wa hivi,maskini wa fikra, a dunderhead asiye na malengo

Umeandika facts zenye data watafyata mikia kama sio wao vile
Simba hadi imefikiwa hatua ya kuogopwa na kusemwa kwamba inatumia mbinu chafu ni hatua kubwa sana zamani nilikuwa nasikiaga hizi shutuma kwa kina mazembe na waarabu wa misri leo teams kubwa zinakuja kwa mkapa kwa uoga hivyo???? aiseeee
 
Hii timu inalitia unajisi taifa letu ,haifai kuliwakilisha taifa hadi watakajitambua
 
Mechi 14 wameambulia point 10, ila naimani kwa hasira walizo nazo juu ya mafanikio yetu, hivi karibuni yanga wataanza kufanya vizuri saana kimataifa, sasa wana timu nzuri wasipoivuruguwa mwakani tunaweza pata timu mbili za kusumbua, kama simba itarudi vizuri maana tumekuwa na msimu mmoja tunafanya poa, unaofata tunaboronga.

Yanga wamekuwa kama mkasi, bila........ Haufanyi kazi, bila ya sisi wasingeshituka[emoji23][emoji1787]
No i mechi 18 mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mechi 14 wameambulia point 10, ila naimani kwa hasira walizo nazo juu ya mafanikio yetu, hivi karibuni yanga wataanza kufanya vizuri saana kimataifa, sasa wana timu nzuri wasipoivuruguwa mwakani tunaweza pata timu mbili za kusumbua, kama simba itarudi vizuri maana tumekuwa na msimu mmoja tunafanya poa, unaofata tunaboronga.

Yanga wamekuwa kama mkasi, bila........ Haufanyi kazi, bila ya sisi wasingeshituka[emoji23][emoji1787]
Mkuu rekebisha hapo kwenye mechi isomeke 18 badala ya 14. Magoli ya kufungwa 41 na ya kufunga ni 13. Tofauti ni magoli 28 (-28) yanga inadaiwa ikomboe. Pointi ni 10 sawa na alizojikusanyia Simba msimu huu pekee wa makundi. Mara zote Yanga ikishikilia mkia.
 
Mambumbu mnachagua takwimu mbaya za Yanga ili kujifurahisha,zile takwimu nzuri hamleti. Na mnavyojitamba utafikiri miaka yote mlioshiriki Michuano ya Africa mlifika hiyo robo fainali au kuizidi Yanga kimafanikio.View attachment 2197509
Kwa taarifa yako hii robo alioingia Yanga ndio hatua ya makundi kwa sasa. Kwani walikuwa wanacheza mechi moja ya mtoano halafu wanaingia kwenye makundi mawili yenye timu 4. Ndiyo hizo baadhi mlizogongwa goli 40 na bakshishi. Timu mbili zilitoka kila kundi kuingia nusu fainali.

Uliona wapi timu inafunga wahabeshi pekee goli 6 na kutinga robo badala ya kuongoza kundi au kushika nafasi ya pili? Angalia timu zote sasa zilizopo robo, ama zimeongoza kundi au nafasi ya pili.
 
Back
Top Bottom