Ni hatari sana kuwa na jirani wa hivi,maskini wa fikra, a dunderhead asiye na malengo

Umeandika facts zenye data watafyata mikia kama sio wao vile
Simba hadi imefikiwa hatua ya kuogopwa na kusemwa kwamba inatumia mbinu chafu ni hatua kubwa sana zamani nilikuwa nasikiaga hizi shutuma kwa kina mazembe na waarabu wa misri leo teams kubwa zinakuja kwa mkapa kwa uoga hivyo???? aiseeee
 
Utopolo ni majinga majinga sana🚮🚮🚮

foolish waheeed kabisa.
 
Hii timu inalitia unajisi taifa letu ,haifai kuliwakilisha taifa hadi watakajitambua
 
No i mechi 18 mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu rekebisha hapo kwenye mechi isomeke 18 badala ya 14. Magoli ya kufungwa 41 na ya kufunga ni 13. Tofauti ni magoli 28 (-28) yanga inadaiwa ikomboe. Pointi ni 10 sawa na alizojikusanyia Simba msimu huu pekee wa makundi. Mara zote Yanga ikishikilia mkia.
 
Mambumbu mnachagua takwimu mbaya za Yanga ili kujifurahisha,zile takwimu nzuri hamleti. Na mnavyojitamba utafikiri miaka yote mlioshiriki Michuano ya Africa mlifika hiyo robo fainali au kuizidi Yanga kimafanikio.View attachment 2197509
Kwa taarifa yako hii robo alioingia Yanga ndio hatua ya makundi kwa sasa. Kwani walikuwa wanacheza mechi moja ya mtoano halafu wanaingia kwenye makundi mawili yenye timu 4. Ndiyo hizo baadhi mlizogongwa goli 40 na bakshishi. Timu mbili zilitoka kila kundi kuingia nusu fainali.

Uliona wapi timu inafunga wahabeshi pekee goli 6 na kutinga robo badala ya kuongoza kundi au kushika nafasi ya pili? Angalia timu zote sasa zilizopo robo, ama zimeongoza kundi au nafasi ya pili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…