Ni hatua gani za kuchukua iwapo hakuna maelewano kwenye ndoa?

Anna pita

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2012
Posts
227
Reaction score
426
Ewe mwanandoa ulichukua au utachukua hatua gani endapo.

Wewe na mwenzio mtafikia hatua ya kutoelewana ndani mmejaribu kuongea lakini hamna suluhu mwingine msaliti mwingine kusamehe nashindwa.

Mmefika hatua hata mnagawana vitanda, mmoja akisafir hata WK 3 bila kupigiana cm,

Tendo la ndoa hamnaKitu kidogo lazima mgombane japo sio ngum.

Kwenu kwa mwezi mnaweza cheka labda siku 5 tu zingine zote hamuongei pamoja..mmoja akitoka mwingine anakua na furaha kuliko uwepo wa mwenzie.


 
Mmefika hatua hata mnagawana vitanda, mmoja akisafir hata WK 3 bila kupigiana cm,
Tendo la ndoa hamna
.mmoja akitoka mwingine anakua na furaha kuliko uwepo wa mwenzie
Hadi hayo yote yanatokea kati yenu na unayavumilia hapo unakua umesimikwa kama nguzo ya umeme au umepandikizwa kama mwembe????

Kama haileti furaha basi haimeki sense🚶🚶🚶
 
Baada ya kuja tumesikitika kusikia hayo.

Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe? hata kama mna watoto wanao waunganisha kimbia🏃🏃🏃
 
Pole sana
Katika maisha ya ndoa inabidi kuzingatia haya
Kujishusha
Kuthaminiana
Kupendana
Na kuvumiliana sana

Katika kitu mabacho wanandoa wengi wanakosea ni mmoja kujiona anajua kila kitu haya ndio matatizo yake

Jishushe wewe Kama mwanamke
Usimfatilie
 
Mwenzako nilikuja kujua nimewekewa kipande cha nyama kwenye mbususu kikanuuliwa nikalishwa

Mbona nilitulia nikawa kama lofa sema aliharibu masharti baada ya kukombolewa niliambiwa hivyo

Na wewe mfanyie hivyo atatulia tu
 
Mwenzako nilikuja kujua nimewekewa kipande cha nyama kwenye mbususu kikanuuliwa nikalishwa

Mbona nilitulia nikawa kama lofa sema aliharibu masharti baada ya kukombolewa niliambiwa hivyo

Na wewe mfanyie hivyo atatulia tu
Ha ha haaaa unanifundisha uchawi?
 
Hiyo sio ndoa kilichobaki mtakuja kuuana tu, ni bora mkaachana kwa amani na kila mtu afanye yake.
 
Sasa kwanini ulichepuka na ww!?

Inabidi ukiri ulikosea kama alishajua umechepuka!! Na girls ni mafundi wa kuomba msamaha

Hiyo kushupaza shingo haitasaidia hata kidogo.
 
Mzee haya yameanza kutokea ndani ya ndoa au hata kabla ya ndoa yalikuwepo?
 
Hiyo ndo ndoa sasa...na hapo ndo pale kiapo cha shida na raha kinakua applicable,wema na ubaya ndo zoote hapo..
Jishushe tu Dada Anna,ndo ushaolewa km hakunyanyasi wala kukupiga ngumi au kukudharau shukuru Mungu!!ndoa ndo hyo sasa!usichepuke tu shostito hutakua umesovu tatizo!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Dah! Ndoa bana.. pale kwenye uchumba hua inavutia sana. Kila mtu anaitamani na kuwaza mambo meeengi mazuri. Shida iko hapo mkianza kuishi, makucha yataonekana, tabia halisi zitaonekana,. Sasa kama hekima imeenda pwani, mambo yanakua moto. Mwisho wa siku ulizaliwa alone, utakufa alone, kama haibambi, funga kiatu pita hv.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…