Ni hatua gani za kuchukua iwapo hakuna maelewano kwenye ndoa?

Ni hatua gani za kuchukua iwapo hakuna maelewano kwenye ndoa?

Ewe mwanandoa ulichukua au utachukua hatua gani endapo.

Wewe na mwenzio mtafikia hatua ya kutoelewana ndani mmejaribu kuongea lakini hamna suluhu mwingine msaliti mwingine kusamehe nashindwa.

Mmefika hatua hata mnagawana vitanda, mmoja akisafir hata WK 3 bila kupigiana cm,

Tendo la ndoa hamnaKitu kidogo lazima mgombane japo sio ngum.

Kwenu kwa mwezi mnaweza cheka labda siku 5 tu zingine zote hamuongei pamoja..mmoja akitoka mwingine anakua na furaha kuliko uwepo wa mwenzie.

Sikia Anna nikupe ushauri, Katika ndoa kuna mambo mengi na Furaha huwa unatakiwa utengenezee wewe Mwenyewe. Tatizo mkiingia katika ndoa unategemea mwenzako ndo awe chanzo cha wewe kuwa na Furaha. Your totally wrong. Mfano hapo umesema mumeo hakupi tendo la ndoa maana yake yeye sasa kuna sehemu anaipata huduma hiyo tena kwa ustadi ambao haoni kwako. Nini Ufanye hili uwe na furaha na kuendelea kujenga Taifa?

Tafuta Kijana wa miaka 22-28-32 ambae ni mbali kidogo na maeneo unayoishi, mfano kama unaishi Goba tafuta kijana maeneo ya Kimara. Sometime unaaga mumeo kuwa unaenda Saloon na utapitia mabibo sokoni, unakuja Kimara unapigwa Waxing na kuliwa show ya maana yani unakojoa kisawa sawa then Jioni unarudi umesuka na baadhi ya vitu vya sokoni. Hapo hautakuja kuiona ndoa chungu kamwe.

Tatizo wanawake wa Kitanzania ni kama mmerogwa sijui, mumeo anachepuka we unalia lia tu kwanini? wake up. Imagine mtu unajitoa hamu na vibomba vya kutawazia chooni kwer.

Now Anna acha uzwazwa nichek PM nikupe maujanja plus make sure hautumii simu yako kuchat na kijana wako, make sure unatumia simu ya dada wa kazi tu. Utakuja ufe af mungu atakupiga marungu kwa ulofa wako.

Bye.
 
Mwenzako nilikuja kujua nimewekewa kipande cha nyama kwenye mbususu kikanuuliwa nikalishwa

Mbona nilitulia nikawa kama lofa sema aliharibu masharti baada ya kukombolewa niliambiwa hivyo

Na wewe mfanyie hivyo atatulia tu
Hivi hayo mambo huwa yanafanya kazi kweli kumbe!!!!
 
Sikia Anna nikupe ushauri, Katika ndoa kuna mambo mengi na Furaha huwa unatakiwa utengenezee wewe Mwenyewe. Tatizo mkiingia katika ndoa unategemea mwenzako ndo awe chanzo cha wewe kuwa na Furaha. Your totally wrong. Mfano hapo umesema mumeo hakupi tendo la ndoa maana yake yeye sasa kuna sehemu anaipata huduma hiyo tena kwa ustadi ambao haoni kwako. Nini Ufanye hili uwe na furaha na kuendelea kujenga Taifa?

Tafuta Kijana wa miaka 22-28-32 ambae ni mbali kidogo na maeneo unayoishi, mfano kama unaishi Goba tafuta kijana maeneo ya Kimara. Sometime unaaga mumeo kuwa unaenda Saloon na utapitia mabibo sokoni, unakuja Kimara unapigwa Waxing na kuliwa show ya maana yani unakojoa kisawa sawa then Jioni unarudi umesuka na baadhi ya vitu vya sokoni. Hapo hautakuja kuiona ndoa chungu kamwe.

Tatizo wanawake wa Kitanzania ni kama mmerogwa sijui, mumeo anachepuka we unalia lia tu kwanini? wake up. Imagine mtu unajitoa hamu na vibomba vya kutawazia chooni kwer.

Now Anna acha uzwazwa nichek PM nikupe maujanja plus make sure hautumii simu yako kuchat na kijana wako, make sure unatumia simu ya dada wa kazi tu. Utakuja ufe af mungu atakupiga marungu kwa ulofa wako.

Bye.
Ushauri wa KIPUMBAVU kabisa
 
Kabisa,ila mwisho wa siku tumemuacha ye ndo aamue,sbb ndo kavaa hivyo viatu!

Na anasema mwanamke,ni jeuri! Mwanaume alipoona ananyimwa tendo, anasema ikabidi aanze kujitafakari labda ye ndo tatizo lkn haoni! Akimuuliza shida nn anasema hakuna,ila jibu,nimechoka! Mwanaume akaamua kujishusha kwa ajili ya kupewa tunda lkn wapi hakuna kitu, basi kaamua bora liende akirudi anadili na watt tu!
Na mara kwa mara analala sebuleni Kwenye kochi[emoji3]
Na kweli hapo hakuna ndoa tena!
Nafikiri kinachom cost kaka ni utumishi alionao!
Ana utumishi upi? Utumishi wa umma au wa kanisa?

Kama ni rafiki yako kweli screenshot comment yangu mtumie asome.

Afanye hivi, kwamza aelewe we live once.

Pili kama ana ajira na kipato kiasi basi afanye haraka atafute sehemu chumba kimoja tu self anunuwe kitanda na godoro aweke humo na dressing table yake ya kimtindo ahame nyumbani amuachie huyo mwanamke nyumba na watoto lakini documents aondoke nazo.

Huduma za chakula apeleka nyumbani kama kawaida lakini huyo mwanamke asiguse hata mia yake.

Atajitesa bure na baadaye hao watoto wameshalishwa sumu na mama yao atajuta watakavyomtenga.

Na kuhusu huduma ya kuosha rungu vitoto vizuri vimejaa vya kumwaga kiasi kwamba ni aibu kwa mwanaume kusema unanyimwa unyumba labda uwe huna pesa tu hilo ni tatizo lingine.

Kuna jamaa yangu ana miaka 62 amestaafu kazi mwaka jana akalipwa kiinuwa mgongo cha muajili kikaisha, amesotea mafao yake ya Nssf mwezi February akaingiziwa mshiko wake bank, siku hiyo alitowa million 5 tu za kurekebisha mambo ya nyumbani siku ya pili akapigwa stroke ya kushoto mdomo umepinda kumbukumbu hana, nilipomuona nilisikitika sana, waliomuokota kwenye pochi wanasema walikuta laki mbili tu.

Baada ya miezi miwili yule jamaa yangu mzima na jana tumekunywa wote bia bank hakuna hata senti tano wala kwenye simu hamna tigo pesa, mke wake amekomba pesa yote.

Kwa huruma tu tulipoagana nilimpa ten imlinde supu asubuhi lakini kila nikimtafari yule shemeji nakata tamaa kabisa na dunia ya leo.

Kumbe ile haikuwa stroke halisi maana stroke huwezi kuinuka na kunywa bia ndani ya miezi miwili hata kukimbia riadha anaweza, kumbe alipigwa kitu hapa hata mke wake namuhisi.

Hivi ni haki kweli mtu amefanyakazi miaka 40 pesa yake ya mafao utumie ndani mwezi mmoja wa ugonjwa akiwa hana fahamu?

Sasa kuishi na shetani kama huyu eti kisa watoto ni zaidi ya upuuzi, ila jamaa yangu kwa umri wake na ela ya mwisho ndio kaporwa kimafia basi mwendo ameshaumaliza ni swala la muda tu itakuja ile stroke yenyewe original kuhitimisha.
 
Ana utumishi upi? Utumishi wa umma au wa kanisa?

Kama ni rafiki yako kweli screenshot comment yangu mtumie asome.

Afanye hivi, kwamza aelewe we live once.

Pili kama ana ajira na kipato kiasi basi afanye haraka atafute sehemu chumba kimoja tu self anunuwe kitanda na godoro aweke humo na dressing table yake ya kimtindo ahame nyumbani amuachie huyo mwanamke nyumba na watoto lakini documents aondoke nazo.

Huduma za chakula apeleka nyumbani kama kawaida lakini huyo mwanamke asiguse hata mia yake.

Atajitesa bure na baadaye hao watoto wameshalishwa sumu na mama yao atajuta watakavyomtenga.

Na kuhusu huduma ya kuosha rungu vitoto vizuri vimejaa vya kumwaga kiasi kwamba ni aibu kwa mwanaume kusema unanyimwa unyumba labda uwe huna pesa tu hilo ni tatizo lingine.

Kuna jamaa yangu ana miaka 62 amestaafu kazi mwaka jana akalipwa kiinuwa mgongo cha muajili kikaisha, amesotea mafao yake ya Nssf mwezi February akaingiziwa mshiko wake bank, siku hiyo alitowa million 5 tu za kurekebisha mambo ya nyumbani siku ya pili akapigwa stroke ya kushoto mdomo umepinda kumbukumbu hana, nilipomuona nilisikitika sana, waliomuokota kwenye pochi wanasema walikuta laki mbili tu.

Baada ya miezi miwili yule jamaa yangu mzima na jana tumekunywa wote bia bank hakuna hata senti tano wala kwenye simu hamna tigo pesa, mke wake amekomba pesa yote.

Kwa huruma tu tulipoagana nilimpa ten imlinde supu asubuhi lakini kila nikimtafari yule shemeji nakata tamaa kabisa na dunia ya leo.

Kumbe ile haikuwa stroke halisi maana stroke huwezi kuinuka na kunywa bia ndani ya miezi miwili hata kukimbia riadha anaweza, kumbe alipigwa kitu hapa hata mke wake namuhisi.

Hivi ni haki kweli mtu amefanyakazi miaka 40 pesa yake ya mafao utumie ndani mwezi mmoja wa ugonjwa akiwa hana fahamu?

Sasa kuishi na shetani kama huyu eti kisa watoto ni zaidi ya upuuzi, ila jamaa yangu kwa umri wake na ela ya mwisho ndio kaporwa kimafia basi mwendo ameshaumaliza ni swala la muda tu itakuja ile stroke yenyewe original kuhitimisha.
Duh[emoji119]dunia hii
Ila wanawake ,Mungu anatuona!

Huyu rfk ana utumishi wa kanisa,na ndo anakopatia hiko kipato chake!ni cha kawaida tu!

Jana tu nimetoka kumwambia sitamshauri tena,nimegundua hana uwezo wa kumuacha huyo mwanamke manka anampelekesha,sijui mnyakyusa toleo gani huyu mwanaume!

Nimemwambi ishi maisha uliyoyachagua,ukichoka mateso utafanya maamuzi

Nilishamshauri akapange chumba,home awe anaenda kila wiki,kupeleka matumizi tu ya watt na kuwaona!
I think shida nyingine ni kipato nahisi
 
Tukiwakamata jua kwamba tutawalawiti hivyo basi kuweni makini katika wizi wenu
Botom line, ukiamua kuoa mpende mkeo period. Hayo mambo sijui mkitupata wakati tushapiga sana makofi ya makalio hayana mpango. Love your wife thy love yourself. Upo kwenye ndoa lakini kutwa unashinda Bar.
 
Botom line, ukiamua kuoa mpende mkeo period. Hayo mambo sijui mkitupata wakati tushapiga sana makofi ya makalio hayana mpango. Love your wife thy love yourself. Upo kwenye ndoa lakini kutwa unashinda Bar.
Ndio mkuu tumekupata na tumekuelewa tunashukuru sana kwa darasa

Ila tu na sisi tunatoa angalizo kuweni makini mkiwala wenye mali wasijue

Kulawitiwa na utu uzima ni fedheha sana
 
Duh[emoji119]dunia hii
Ila wanawake ,Mungu anatuona!

Huyu rfk ana utumishi wa kanisa,na ndo anakopatia hiko kipato chake!ni cha kawaida tu!

Jana tu nimetoka kumwambia sitamshauri tena,nimegundua hana uwezo wa kumuacha huyo mwanamke manka anampelekesha,sijui mnyakyusa toleo gani huyu mwanaume!

Nimemwambi ishi maisha uliyoyachagua,ukichoka mateso utafanya maamuzi

Nilishamshauri akapange chumba,home awe anaenda kila wiki,kupeleka matumizi tu ya watt na kuwaona!
I think shida nyingine ni kipato nahisi
Huyo kama anaishi kwa kutegemea sadaka za kondoo basi imekula kwake.

Siku hizi hata maparoko wa kikatoliki wanafuga nguruwe maparokiani kuboost vipato vyao.

Nimeshajuwa shida iko wapi hapo, poverty.
 
Ndio mkuu tumekupata na tumekuelewa tunashukuru sana kwa darasa

Ila tu na sisi tunatoa angalizo kuweni makini mkiwala wenye mali wasijue

Kulawitiwa na utu uzima ni fedheha sana
Sawa Mkuu ila kumbuka kumpenda shemeji hao wanawake wana akili nyingi kuliko wanaume ndio maana mkaambiwa muishi nao kwa akili.
 
Ewe mwanandoa ulichukua au utachukua hatua gani endapo.

Wewe na mwenzio mtafikia hatua ya kutoelewana ndani mmejaribu kuongea lakini hamna suluhu mwingine msaliti mwingine kusamehe nashindwa.

Mmefika hatua hata mnagawana vitanda, mmoja akisafir hata WK 3 bila kupigiana cm,

Tendo la ndoa hamnaKitu kidogo lazima mgombane japo sio ngum.

Kwenu kwa mwezi mnaweza cheka labda siku 5 tu zingine zote hamuongei pamoja..mmoja akitoka mwingine anakua na furaha kuliko uwepo wa mwenzie.

kila mtu aendelee na mambo yake. yaani muachane
mi binafsi siwezi kuteseka kwa jina la ndoa
kwani lazima
 
Nyuzi za kuachwa achwa siku hizi zimepungua humu, Watu washazoea maumivu au[emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783]
 
Back
Top Bottom