Fundi waya
Member
- Sep 18, 2021
- 19
- 24
Sikia Anna nikupe ushauri, Katika ndoa kuna mambo mengi na Furaha huwa unatakiwa utengenezee wewe Mwenyewe. Tatizo mkiingia katika ndoa unategemea mwenzako ndo awe chanzo cha wewe kuwa na Furaha. Your totally wrong. Mfano hapo umesema mumeo hakupi tendo la ndoa maana yake yeye sasa kuna sehemu anaipata huduma hiyo tena kwa ustadi ambao haoni kwako. Nini Ufanye hili uwe na furaha na kuendelea kujenga Taifa?Ewe mwanandoa ulichukua au utachukua hatua gani endapo.
Wewe na mwenzio mtafikia hatua ya kutoelewana ndani mmejaribu kuongea lakini hamna suluhu mwingine msaliti mwingine kusamehe nashindwa.
Mmefika hatua hata mnagawana vitanda, mmoja akisafir hata WK 3 bila kupigiana cm,
Tendo la ndoa hamnaKitu kidogo lazima mgombane japo sio ngum.
Kwenu kwa mwezi mnaweza cheka labda siku 5 tu zingine zote hamuongei pamoja..mmoja akitoka mwingine anakua na furaha kuliko uwepo wa mwenzie.
Tafuta Kijana wa miaka 22-28-32 ambae ni mbali kidogo na maeneo unayoishi, mfano kama unaishi Goba tafuta kijana maeneo ya Kimara. Sometime unaaga mumeo kuwa unaenda Saloon na utapitia mabibo sokoni, unakuja Kimara unapigwa Waxing na kuliwa show ya maana yani unakojoa kisawa sawa then Jioni unarudi umesuka na baadhi ya vitu vya sokoni. Hapo hautakuja kuiona ndoa chungu kamwe.
Tatizo wanawake wa Kitanzania ni kama mmerogwa sijui, mumeo anachepuka we unalia lia tu kwanini? wake up. Imagine mtu unajitoa hamu na vibomba vya kutawazia chooni kwer.
Now Anna acha uzwazwa nichek PM nikupe maujanja plus make sure hautumii simu yako kuchat na kijana wako, make sure unatumia simu ya dada wa kazi tu. Utakuja ufe af mungu atakupiga marungu kwa ulofa wako.
Bye.