Ni hatua gani za kuchukua iwapo hakuna maelewano kwenye ndoa?

Ni hatua gani za kuchukua iwapo hakuna maelewano kwenye ndoa?

Kufanya maombi maombi Yana nguvu Sana ktika maisha yetu
Ebu funga sali Sana kwa Imani ombea ndoa yako ombea familia yako muombee na mume/mkeo wakat mwingine najaribu yanakuja tukiskisa Imani zetu relax kma mwanamke rudisha utii kwa mumeo
Mtimizie anachohitaji muombee yaliyobaki muachie mungu atayajibu
Hata akifunga karne nzima, mwanamke asiyemuheshimu na kujishusha kwa mumewe hatakaa apate amani hata punje 1:WAKORINTO inasema "mke amtii mume kwa kila hali"

Sasa hata kama akifungu huku hajatimiza agizo la kumtii mume anafanya kazi bure kabisa na MUNGU anaweza hata kuivuruga kabisa hiyo ndoa.

Ni unafiki mwanamke kujifanya anafunga kuomba amani ya ndoa huku hamtii mumewe.
 
Ushauri mzuri kabisa na suluhu lisilo na gharama yoyote na linaloweza kuboresha ndoa na kurejesha furaha na amani

lakini nionyeshe mwanamke wa kileo mwenye kijiajira ambaye yuko tayari kujishusha na mimi nitakuonyesha mbuzi anaetaga mayai.

Yani mpaka kalileta huku unapata picha alivyo mwanamke ngangari ngangari, kitaeleweka, jeuri ...., jeuri ....,
jeuri ...., jeuri ....,
jeuri ...., jeuri ....,
Ndiye mchawi wa kuvunja ndoa za wanawake wenye vijiajira
akikua atajua
cha msingi ajishushe tu hapo waanze upya
 
Kujishusha
Kuthaminiana
Kupendana
Na kuvumiliana sana
Mie ndio maana nikiona mahesabu yanakua magumu, narudi kwenye mistari ya Biblia:
1 Wakorintho 13:4-7
4 Upendo huvumilia, upendo hufadhili; upendo hauna wivu au majivuno.
5 Upendo hauna kiburi na haukosi kuwa na adabu. Upendo hau tafuti kujipendeza nafsi; haukasiriki upesi, hauweki orodha ya mabaya. 6 Upendo haufurahii mabaya, bali hufurahia kweli. 7 Upendo huvumilia yote, huamini yote, hutumaini yote, hustahim ili yote
 
.....mwanamke rudisha utii kwa mumeo
Mtimizie anachohitaji
muombee yaliyobaki muachie mungu atayajibu
Siri kuu ya ndoa kudumu ni Utii wa kufuata kile anachokitaka Mume na ufuate maagizo yake. Wala haihitaji maombi ya MUNGU aingilie kati. Ni tabia zenu tu zinawagharimu.

Ukiyaweza haya tu, ndoa yako haiwezi kuvunjika;
1- Ukichelewa kurudi home mpe taarifa,
2- Ukitaka kusafiri kwenda popote muombe ruhusa, akikataa usiende.
3- Mshirikishe/ Mpe taarifa kwenye jambo lolote linalokuingizia pesa alijue,
4- Muulize leo nikupikie chakula gani?. Na uwe unapika wewe sio House girl,
5- Akitaka mdinyo usimwambie nimechoka au sitaki.- Mpe aonje.
6- Mume hafokewi wala kugombezwa kama Mtoto. Hizo ni dharau
7- Hata ukigundua Mumeo kachepuka wewe usilipize, kumbuka mwanamke haoi -huolewa
8- Kama unashughuli ya kukuingizia kipato, Msaidie mumeo kulipia baadhi ya vitu mfano Luku au bili ya maji au Chakula. Usiwe tegemezi kwake kwa kila kitu.
9- Mtetee/ Usimvue nguo mumeo kwa kusimulia wengine mapungufu yake.
10- Mtii na umheshimu. Hakunaga mwanaume mkorofi anapokutana na mwanamke anaemnyenyekea.
 
Mkuu hakuna mwanamke wa kujishusha hapo na ndio maana mpaka kalileta huku. Huyu ni style ile ya wanawake 50/50 yani hawa na wanawake wakishapata viajira hua hawataki kujishusha na ndio maana idadi ya masingldm mother inazidi kupaa juu kama bei ya cement.

Yani ni rahisi mbuzi kutaga mayai kuliko mwanamke mwenye kiajira kujishusha kwa mumewe.
mkuu uko sahihi kabisa, hawa viumbe akipata kiajira tu aloo, neno samahani tena kwake halipo
 
Kwenye Ndoa, mwanamke anakuwa chini ya umiliki wa mwanaume. Ukishindwa kujishusha na kusamehe unakosa sifa ya kuwa Wife material.

Hivyo utaishia kuwa huru na kuishi maisha ya usingo mother tu. Wanaume wanapenda sana kuwa kwenye staili ile ya kimfumo dume. Wanawake wengi wanaotaka kuwa huru, ishu za usawa na kutovumilia upumbavu wa mwanaume - ndoa huwa zinawashinda.

Na ukiachika ukiwa tayari na watoto na thamani yako ya kupata mume mwingine huwa inapungua.
Nimemjibu kutokana na comment yake!
Najua kabisa mwanaume ni kichwa iko hivyo haipingiki!.
Mi siamini ktk 50/50 ,usawa!

Na hizi shida za Kwenye ndoa inategemea ni changamoto gani unapitia,kuna hatua ikifika best option ni kila mmoja kuendelea na maisha yake laa sivyo ndo tunasikia watu wameuana!

Mkuu wako wanawake wanaachika na watt na wanaolewa wengi tu[emoji3]haya mambo bwana hayatabiriki!

Mfano,nina rfk angu mwanaume maisha anayoishi kwenye hiyo ndoa naona tutamzika muda si mrefu nae anasema watt ndo wanampa mawazo wanamfanya avumilie ila angeshafanya maamuzi muda, vitu anavyofanyiwa mwingie hawezi kuvumilia!
Mke ni mama was nyumbani hafanyi kazi yyt!wana watt !
-no tendo la ndoa kabisa(sahivi unaenda mwaka)
-no chakula (mpk mwanamke ajisikie kupika,so ye huondoka nyumbani na njaa kwenda kazini, imekua kawaida)
-kila kitu anajifanyia(hivi sio shida sn, kufua nk)
-akimpa pesa ya matumizi mwanamke anafanyia vitu vingine,(soln.kaamua awe ananunua mwenyewe kila kitu anaweka ndani,na bado akinunua anapunguza sijui anapeleka kwao...)
-kuna siku katoka Kwenye mishe sa nne mwanamke kagoma kufungua mlango,mwanaume kalala nje! (Ndo vya kuvumilia hivi?kisa watt?
-akisafiri hakuna wala kuagana maisha yanaendelea!

#hayo ni baadhi tu#
 
kma mwanamke rudisha utii kwa mumeo
Mtimizie anachohitaji muombee yaliyobaki muachie mungu atayajibu
Hii comment utaikuta salender bridge pale nimeibandika

Hizi ndio busara sasa za wale wanawake wanaoletwa na Mungu
 
Daaah hizi mambo zinakataga stimu aseee [emoji1][emoji1][emoji1] hata kama kila mtu ana mapito yake !!! Mimi naona mkifikia hatua ya kutojali na roho ya msamaha bora mtengane

Ndoa yangu ina miezi sita tuko vizuri sana !! Najifariji kidogo maana nimemuoa rafiki yangu[emoji1][emoji1][emoji1] siku gari likiwaka moto sijui itakuaje ?
Mradi tu msichepuke huko ndo kubaya mengine yanasolvika

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Nimemjibu kutokana na comment yake!
Najua kabisa mwanaume ni kichwa iko hivyo haipingiki!.
Mi siamini ktk 50/50 ,usawa!

Na hizi shida za Kwenye ndoa inategemea ni changamoto gani unapitia,kuna hatua ikifika best option ni kila mmoja kuendelea na maisha yake laa sivyo ndo tunasikia watu wameuana!

Mkuu wako wanawake wanaachika na watt na wanaolewa wengi tu[emoji3]haya mambo bwana hayatabiriki!

Mfano,nina rfk angu mwanaume maisha anayoishi kwenye hiyo ndoa naona tutamzika muda si mrefu nae anasema watt ndo wanampa mawazo wanamfanya avumilie ila angeshafanya maamuzi muda, vitu anavyofanyiwa mwingie hawezi kuvumilia!
Mke ni mama was nyumbani hafanyi kazi yyt!wana watt !
-no tendo la ndoa kabisa(sahivi unaenda mwaka)
-no chakula (mpk mwanamke ajisikie kupika,so ye huondoka nyumbani na njaa kwenda kazini, imekua kawaida)
-kila kitu anajifanyia(hivi sio shida sn, kufua nk)
-akimpa pesa ya matumizi mwanamke anafanyia vitu vingine,(soln.kaamua awe ananunua mwenyewe kila kitu anaweka ndani,na bado akinunua anapunguza sijui anapeleka kwao...)
-kuna siku katoka Kwenye mishe sa nne mwanamke kagoma kufungua mlango,mwanaume kalala nje! (Ndo vya kuvumilia hivi?kisa watt?
-akisafiri hakuna wala kuagana maisha yanaendelea!

#hayo ni baadhi tu#
Ikifikia stage hiyo - hapo Hakuna Ndoa.

Tatizo lipo kwa wote wawili hakuna anaekubali kujishusha. Kwa maelezo hayo ni wazi mwanamke ndio yupo juu ya mwanaume. hilo ni kosa. Wanatengeneza tatizo kubwa zaidi kwenye hayo maisha yao. Hata watoto wanajfunza matendo mabaya toka kwa wazazi wao. Hawa wanaishi pamoja huku tayari wameshaachana, wanategeneza hasira na maumivu ya moyo- kunasiku watawekeana sumu kwenye chakula au watakuja kufanya tukio ambalo litawashangaza watu.
 
Nimemjibu kutokana na comment yake!
Najua kabisa mwanaume ni kichwa iko hivyo haipingiki!.
Mi siamini ktk 50/50 ,usawa!

Na hizi shida za Kwenye ndoa inategemea ni changamoto gani unapitia,kuna hatua ikifika best option ni kila mmoja kuendelea na maisha yake laa sivyo ndo tunasikia watu wameuana!

Mkuu wako wanawake wanaachika na watt na wanaolewa wengi tu[emoji3]haya mambo bwana hayatabiriki!

Mfano,nina rfk angu mwanaume maisha anayoishi kwenye hiyo ndoa naona tutamzika muda si mrefu nae anasema watt ndo wanampa mawazo wanamfanya avumilie ila angeshafanya maamuzi muda, vitu anavyofanyiwa mwingie hawezi kuvumilia!
Mke ni mama was nyumbani hafanyi kazi yyt!wana watt !
-no tendo la ndoa kabisa(sahivi unaenda mwaka)
-no chakula (mpk mwanamke ajisikie kupika,so ye huondoka nyumbani na njaa kwenda kazini, imekua kawaida)
-kila kitu anajifanyia(hivi sio shida sn, kufua nk)
-akimpa pesa ya matumizi mwanamke anafanyia vitu vingine,(soln.kaamua awe ananunua mwenyewe kila kitu anaweka ndani,na bado akinunua anapunguza sijui anapeleka kwao...)
-kuna siku katoka Kwenye mishe sa nne mwanamke kagoma kufungua mlango,mwanaume kalala nje! (Ndo vya kuvumilia hivi?kisa watt?
-akisafiri hakuna wala kuagana maisha yanaendelea!

#hayo ni baadhi tu#
daaah hapo hakuna ndoa aiseee, ni nini lakini hivi? kumbe kuna wanawake wanyama namna hii?
 
Wiki tatu mtu yuko safarini bila hata kupigiana simu? Hii dalili kwamba kuna kiburi kati yenu, kama wewe hujapigiwa simu kwanini wewe usipige simu!?? Kama mnaihitaji hiyo ndoa lazima mjishushe mzungumze ili maisha yaendelee na kama mnajiona hamuihitaji ndoa msipotezeane muda
 
Kabla hujafanya maamuzi yoyote magumu tafuta kitabu kinaitwa 'Fungate ya Milele' , kisome kwanza na kisha ndipo ufanye maamuzi, yawezekana kuna kitu ambacho wewe hukioni
 
Ikifikia stage hiyo - hapo Hakuna Ndoa.

Tatizo lipo kwa wote wawili hakuna anaekubali kujishusha. Kwa maelezo hayo ni wazi mwanamke ndio yupo juu ya mwanaume. hilo ni kosa. Wanatengeneza tatizo kubwa zaidi kwenye hayo maisha yao. Hata watoto wanajfunza matendo mabaya toka kwa wazazi wao. Hawa wanaishi pamoja huku tayari wameshaachana, wanategeneza hasira na maumivu ya moyo- kunasiku watawekeana sumu kwenye chakula au watakuja kufanya tukio ambalo litawashangaza watu.
Kabisa,ila mwisho wa siku tumemuacha ye ndo aamue,sbb ndo kavaa hivyo viatu!

Na anasema mwanamke,ni jeuri! Mwanaume alipoona ananyimwa tendo, anasema ikabidi aanze kujitafakari labda ye ndo tatizo lkn haoni! Akimuuliza shida nn anasema hakuna,ila jibu,nimechoka! Mwanaume akaamua kujishusha kwa ajili ya kupewa tunda lkn wapi hakuna kitu, basi kaamua bora liende akirudi anadili na watt tu!
Na mara kwa mara analala sebuleni Kwenye kochi[emoji3]
Na kweli hapo hakuna ndoa tena!
Nafikiri kinachom cost kaka ni utumishi alionao!
 
Wiki tatu mtu yuko safarini bila hata kupigiana simu? Hii dalili kwamba kuna kiburi kati yenu, kama wewe hujapigiwa simu kwanini wewe usipige simu!?? Kama mnaihitaji hiyo ndoa lazima mjishushe mzungumze ili maisha yaendelee na kama mnajiona hamuihitaji ndoa msipotezeane muda
Kama unapiga na hapokei je?
 
Hadi hayo yote yanatokea kati yenu na unayavumilia hapo unakua umesimikwa kama nguzo ya umeme au umepandikizwa kama mwembe????

Kama haileti furaha basi haimeki sense[emoji124][emoji124][emoji124]
Ukishaingia kwenyeahusiano ya ndoa utaelewa
 
daaah hapo hakuna ndoa aiseee, ni nini lakini hivi? kumbe kuna wanawake wanyama namna hii?
Yes huyu kaka naekwambia ni mtumishi!
Kuna wanawake wana roho mbaya sana aisee.
 
Back
Top Bottom